Platnum Credit wanidhulumu

Platnum Credit wanidhulumu

Hizi kampuni ni za kuogopa sana zina magumashi mengi ila watu wanashindwa kuzikwepa kwa kuwa wanatoa mkopo kwa muda mfupi sana bila milolongo mingi.

Tatizo linakuja kwenye mifumo ya ulipaji mikopo riba kubwa sana na ukitaka umalize deni haraka ili upunguze hawataki.

Hizi kampuni kwa sasa zinaitwa NYONYA DAMU....
Mkuu inamaana shida haijawai kukupata eee.

Ni vyema usikocomment chochote

Wee toa ushauri afanye nini ili apate balance alipe malizananye ,lin sio kumlaumu
 
Mkuu Ni mbaya sana kukimbilia kucoment bila kusoma na kuelewa hoja,hebu soma hoja kwa umakini then ulinganishe na ulichoandika hapa
Nchi hii ni mgumu Sana

Ndio kwa aina ya watu tulionao and

And hawa ndio wanalalamika hakuna kazi
Kama ndio thinking capacity yao.
 
Watumishi wengi wa serikali ni wajinga sana ni wajinga kupitiliza waendelee kunyonywa tu kwani walienda chuoni kusomea upumbavu na kupewa vyeti.
Nikiona na kusikia sijui mwalimu kaweka milioni 6 Qnet ata sishituki kwani wajinga ndio waliwao.

Kampuni zipo kutafuta pesa sio kutoa msaada, unahitaji kutumia akili ukienda kuomba mkopo wa miezi mitatu kwa nini ukubali kusaini mkataba wa miaka 8 urudishe jumla ya milioni 3 kwa mkopo wa laki 6??? Jipige kifua mara 7 sema serikali imeajiri mpumbavu!!
 
Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane
Je ulitambua kabla ya kuchukua fedha yao?

Je ulisoma mkataba uliosaini? Na muda wa rejesho uliafiki kuwa ni miaka mitatu na sio miezi 6 wala miezi mitatu?
 
Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada.
Sio polisi, Nenda mahakamani.

Msaada wa kisheria ndio unatakiwa zaidi hapo.

Tafuta mwanasheria, na swala litaisha vyema
 
Wakuu salaam.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Ilikuwa mwezi wa nne mwaka huu nilipata dharura ya kifedha; ni shida ya haraka ya fedha so nikaona niende kwa hawa jamaa wanajiita Platnum Credit. Wao wanatoa mkopo ndani ya muda mfupi sana ila riba yao ni kali sana. So mi nikawaambia nahitaji mkopo ( ni kama laki sita hivi) ila baada ya miezi mitatu nitalipa hela yenu yote ili nisitishe makato kwenye salary yangu.

Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane. So tukakubaliana baada ya miezi mitatu nitakuja ku clear deni ili kuachana ni hizo riba( coz ukilipa saizi unalipa ile ile uliyokopa).

Sasa tangu mwezi wa tisa nawadai wanipe balance ya deni langu ili niwalipe, hawataki; mbele ya kutimiza mashati yao waliyonipa like kuandika barua ya kuomba kusitisha deni na kulipia elfu kumi lkn mpaka leo jamaa hawataki kunipa balance yangu.

Mpaka nimekata tamaa jamaa ni kama hawataki kuwaachia watu waliokopa kwao. Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada. Lakini kabla ya kufanya yote hayo naombeni ushauri wenu nipite njia gani ili niweze kufanikiwa. Maana naona kwa njia ya amani imeshindikana. KARIBUNI SANA.
Wasenge hao kila sku walikuwa wananipigia et nikachukue mkopo Kwa dhamana ya Kadi ya gari , kuna mdada yaani kila mara ananipigia , nikawa namdanganya Niko mkoa , akaendelea kunisumbua mwisho nikamwambia Kwa sasa sina gari ndio akaniacha
 
Kwani wewe ulikopa kiasi gani? Na mlikubaliana baada ya miezi mitatu uwalipe kiasi gani? Na mlikubaliana mode of payment ni kupitia akaunti gani ya benki?

 
Wakuu salaam.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Ilikuwa mwezi wa nne mwaka huu nilipata dharura ya kifedha; ni shida ya haraka ya fedha so nikaona niende kwa hawa jamaa wanajiita Platnum Credit. Wao wanatoa mkopo ndani ya muda mfupi sana ila riba yao ni kali sana. So mi nikawaambia nahitaji mkopo ( ni kama laki sita hivi) ila baada ya miezi mitatu nitalipa hela yenu yote ili nisitishe makato kwenye salary yangu.

Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane. So tukakubaliana baada ya miezi mitatu nitakuja ku clear deni ili kuachana ni hizo riba( coz ukilipa saizi unalipa ile ile uliyokopa).

Sasa tangu mwezi wa tisa nawadai wanipe balance ya deni langu ili niwalipe, hawataki; mbele ya kutimiza mashati yao waliyonipa like kuandika barua ya kuomba kusitisha deni na kulipia elfu kumi lkn mpaka leo jamaa hawataki kunipa balance yangu.

Mpaka nimekata tamaa jamaa ni kama hawataki kuwaachia watu waliokopa kwao. Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada. Lakini kabla ya kufanya yote hayo naombeni ushauri wenu nipite njia gani ili niweze kufanikiwa. Maana naona kwa njia ya amani imeshindikana. KARIBUNI SANA.
Nenda makao makuu yao,mshirikishe na afisa utumishi wako yeye ana uwezo wa kusitisha makato.
 
Wasenge hao kila sku walikuwa wananipigia et nikachukue mkopo Kwa dhamana ya Kadi ya gari , kuna mdada yaani kila mara ananipigia , nikawa namdanganya Niko mkoa , akaendelea kunisumbua mwisho nikamwambia Kwa sasa sina gari ndio akaniacha
Hao alitakiwa kuwakomalia haswa. Na yeye kwa nini uchukue mkopo wa laki 6 halafu ukubaliane kulipa kwa miaka 8? Alikuwa anatakiwa kurejesha sh. Ngapi kwa mwezi? Labda eje na ufafanuzi zaidi, labda alimaanisha miezi 8.
 
Wakuu salaam.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Ilikuwa mwezi wa nne mwaka huu nilipata dharura ya kifedha; ni shida ya haraka ya fedha so nikaona niende kwa hawa jamaa wanajiita Platnum Credit. Wao wanatoa mkopo ndani ya muda mfupi sana ila riba yao ni kali sana. So mi nikawaambia nahitaji mkopo ( ni kama laki sita hivi) ila baada ya miezi mitatu nitalipa hela yenu yote ili nisitishe makato kwenye salary yangu.

Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane. So tukakubaliana baada ya miezi mitatu nitakuja ku clear deni ili kuachana ni hizo riba( coz ukilipa saizi unalipa ile ile uliyokopa).

Sasa tangu mwezi wa tisa nawadai wanipe balance ya deni langu ili niwalipe, hawataki; mbele ya kutimiza mashati yao waliyonipa like kuandika barua ya kuomba kusitisha deni na kulipia elfu kumi lkn mpaka leo jamaa hawataki kunipa balance yangu.

Mpaka nimekata tamaa jamaa ni kama hawataki kuwaachia watu waliokopa kwao. Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada. Lakini kabla ya kufanya yote hayo naombeni ushauri wenu nipite njia gani ili niweze kufanikiwa. Maana naona kwa njia ya amani imeshindikana. KARIBUNI SANA.
Hao jamaa hawafai hata mm waliwahi kunifanya nikaishi maisha ya kichokoraa miaka mitano na ukitaka kuwalipa hawakupi balance niliwatisha mahakamani ndyo wakanipa balance tukamalizana
 
Hao jamaa hawafai hata mm waliwahi kunifanya nikaishi maisha ya kichokoraa miaka mitano na ukitaka kuwalipa hawakupi balance niliwatisha mahakamani ndyo wakanipa balance tukamalizana
Wanazingua Sana asee
 
Platinum, Bayport, Muhele, Credit nini sijui na wengineo wote ni wauwajiii...!
 
Kuna thread kama hii nadhani ya 2018 hapo. Jamaa alienda akawatembezea ngumi za kutosha, kesi ikaisha pale pale. Ukienda Polisi utaishia kuwapa Polisi pesa Kisha watakwambia hawahusiki na mambo ya madai.

Ushauri wangu, nenda kapige mkwara mzito saaaaana sana, yaani kafanye valangati la Maana.

Bayport walimsumbua Sister Aisee, Ofisi zao zilikua pale Moroca jirani na jengo la Airtel sasa, tulikusanyana wanaume kama watano na Dada tuko nae hahahaha Ile issue waliifuta ghafla.
hahaaa duh
 
Yaani tumepiga kelele weee! Lakini bado kuna watu wanatuzunguka, na kwenda kukopa tena kwenye hizo taasisi katili za kifedha!!!
Naanza kuona kuwa vikao vyetu kuna watu hawavitilii maanani sababu tushasema sana alafu leo mtu anakuja kulalamika kama sio kutaka tumfute kwenye vikao vyetu ni nini
 
Wakuu salaam.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Ilikuwa mwezi wa nne mwaka huu nilipata dharura ya kifedha; ni shida ya haraka ya fedha so nikaona niende kwa hawa jamaa wanajiita Platnum Credit. Wao wanatoa mkopo ndani ya muda mfupi sana ila riba yao ni kali sana. So mi nikawaambia nahitaji mkopo ( ni kama laki sita hivi) ila baada ya miezi mitatu nitalipa hela yenu yote ili nisitishe makato kwenye salary yangu.

Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane. So tukakubaliana baada ya miezi mitatu nitakuja ku clear deni ili kuachana ni hizo riba( coz ukilipa saizi unalipa ile ile uliyokopa).

Sasa tangu mwezi wa tisa nawadai wanipe balance ya deni langu ili niwalipe, hawataki; mbele ya kutimiza mashati yao waliyonipa like kuandika barua ya kuomba kusitisha deni na kulipia elfu kumi lkn mpaka leo jamaa hawataki kunipa balance yangu.

Mpaka nimekata tamaa jamaa ni kama hawataki kuwaachia watu waliokopa kwao. Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada. Lakini kabla ya kufanya yote hayo naombeni ushauri wenu nipite njia gani ili niweze kufanikiwa. Maana naona kwa njia ya amani imeshindikana. KARIBUNI SANA.
Bora nmekuta huu Uzi,na mm yamenikuta kwa Bayport,nmeomba salio kwao tangu Dec,wakaniahidi nisubiri cku 30 za kazi ambapo tyr zimetimia lkn balance hawataki kutoa,wanasema tu ikiwa tyr ntatumiwa,nafikiria kumpa mwanasheria Dili tupige hela,naomba ushauri wa mawazo.
 
Hawa jamaa ni wezi wa kimacho macho na wahuni sana nashauri msikope hizi kampuni
 
Laki sita kwa milioni 8?
Epuka BAYPORT NA PLAT8NUM KAMA UKOMA.
 
Back
Top Bottom