duh! Mtapindisha maneno hadi mate yawakauke,slaa kasema mwenyewe kuwa walikuwa wana kula mihogo,wewe unapindisha.ina maana slaa hajui hy lugha unayotaka kutuaminisha?au ww ndo msomi zaidi yake,haya tutafsirie na jinsi alivyorushiwa mabegi nje kwa sbb ww ni mtaalamu zaidi,au alikuwa anasafiri...