Ninavyofahamu Mimi no kwamba ili uteuliwe kushika nafasi ya juu kama MAKAMU WA RAIS AU WAZIRI MKUU kuna chombo kinachochunguza MAADILI Na UADILIFU WAKO.Naamini chombo kilifanya Kazi yake ndio maana waliteuliwa.Najiuliza no MAADILI GANI WALIKOSA kule DODOMA mpaka wakashindwa KUTEULIWA au NDIO CCM FAMILY?