Recent content by Utuborastan

  1. U

    FT: Far Rabat 1-0 Yanga SC | CAF Champions League | Olympique de Rabat | Februari 7, 2026

    Leo timu inacheza kama vile hatuitaki robo..Mabeki plus Pakome wamejitahidi sana hichi kipindi cha kwanza.Kipindi cha pili inabidi tukaze zaidi kama tunataka kupata matokeo.
  2. U

    FT: Morocco 1-0 Tanzania | AFCON 2025 | 16 Round | Prince Moulay Stadium, Rabat | 04 January 2026| Saa 1:00 Usiku

    It's 13 vs 11 lakini tumefanikiwa kuwadhibiti hawa waarabu..Mungu tubariki kipindi cha pili tuandike Historia..
  3. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Duh!City sasa hv OT ni kama uwanja wao wa nyumbani vile wanajipigia tu..Henderson ni kipa mzuri lkn naona carrier yake inaenda kufia OT(so sad)..watu ambao huwa wanasema Maguire ni mzigo kwa lendolof huwa natamani sana nikione hicho wanachokiona kwa lendolof..Leo tangu mpira unaanza ulikuwa...
  4. U

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    City dhaifu wamemaliza hii game kipindi cha kwanza sikutegemea..
  5. U

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Poor Chelsea..
  6. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nilijiandaa kupokea matokeo yoyote ya ushindi dhidi ya Aston Villa(based on their current form) lkn nimesikitika kiasi kutokuondoka na clean sheet..Eric Bailly man of the match kama wakuu walivyosema hapo juu jamaa nadhani huyu ndiye anapaswa kuwa partner wa Maguire(if he stays fit) ameonyesha...
  7. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Point moja away with Leicester sio matokeo mabaya sana lakini kinachonisikitisha ni tumeshindwa kulinda goli la muhimu zikiwa zimesalia dk chache sana mpira kumalizika...Huenda nisiwe sahihi lkn nadhani Wan bissaka angekuwepo leo matokeo yasingekuwa hv..
  8. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Special credits to Solskjaer taratibu naona anaanza kurejesha imani iliyopotea..Mc tomminay man of the match leo karibu kila alichokuwa anakifanya kilikuwa kinakwenda sawa..James nilishapotezaga imani naye long time lkn leo ameprove kwamba he can be trusted happy for him..Rashford leo alikuwa...
  9. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Shaw man of the match..leo nilikuwa na uhakika hatufungwi hata tungecheza na Bayern Munich au Liverpool (considering previously results) Ole is so predictable..
  10. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nimeangalia tena goli la Pogba duh!aisee hili goli linaweza kuwa goli bora la mwezi ukiachilia mbali msimu kabisa..
  11. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    I'm happy for the win lakini naona bado tunasafari ndefu kama timu ushindi wa goli tatu kwa mtu ambaye hajaangalia mpira anaweza kuhisi tulikuwa bora sana lkn sivyo..Bruno na Rashford waliongeza uhai kwenye timu baada ya kuingia lkn my special credits goes to Aaron Wan Bissaka huyu mwamba huwa...
  12. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Cavan kwa mara ya kwanza leo anamfanya Chief Mkwawa(No disrespect) akose cha kumtetea Martial utetezi wa jamaa huwa unaingia sana moyoni lkn akili yangu huwa inakataa kabisa...Thanks Cavani.
  13. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Point tatu muhimu sana kwa timu kama mdau alivyosema hapo juu..goli mbili muhimu sana kwa Cavan kumfanya tuwe na cha kumlaumu kocha asipomfanya first choice no9 for the team in the next games Donny Van De Beek,Bruno na Fred ni wachezaji wa muhimu sana wa hii timu..
  14. U

    Ili Taifa Stars leo 'ishinde' yule 'Mtaalam' wangu wa Pemba ambaye 99.9% huwa Mkweli kasema 'Kikosi' kiwe hiki...

    Gentamycin heshima kwako sehemu ya ulichokisema naona kimetendeka..
  15. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kuna mtu humu ndani aliwahi kusema baada ya kipigo kutoka kwa Tottenham na sisi tutampata mkubwa mmoja wa kumpunguzia machozi nadhani ndo huyu sasa..
Back
Top Bottom