Recent content by uso wa punda

  1. U

    JamiiForums Tanzania Vifo vya Utata: Pumzika Job Yustino Ndugai

    Aisee! Nimeshtuka
  2. U

    JamiiForums Tanzania Sijui ni wangapi nimewaambukiza mpaka sasa. Wengi ni waume za watu

    Rudia kusoma kwa jicho la tofauti kuna kitu hakipo sawa, Ukiitwa kwenye fursa kuwa makini yawezekana wewe ndo fursa yenyewe.
  3. U

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Kama ni kweli asubiri kupewa majina na kashfa za kila aina. Na hivi Nchi imejaa wajinga wengi wasiotambua na kuheshimu mawazo ama uwamuzi wa mtu!!
  4. U

    JamiiForums Tanzania Ukifika Msamvu pale Morogoro, usipande magari yafuatayo...

    Alooo sijui kama abilia wanatetewa kwa kweli, hivi kazi ya latra ni ipi? Jana asubuhi nilikata tiketi ya mdogo wangu alikuwa anatoka Moro kwenda Mwanza gari inaondoka saa tisa alasiri Bahati mbaya kabla ya kuondoka dogo alipata changamoto ya kiafya akachelewa kama dk 10 gari ikawa imetoka...
  5. U

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wadhamini waliofika Polisi kumdhamini Golugwa wakamatwa

    vurugu mechi, Hata wadhamini na wenyewe wanamakosa!!
  6. U

    JamiiForums Tanzania Full Time |NBC PL| KMC 1-2 Simba SC | KMC Complex, Mwenge | 16:00

    Ayaaaa nilishahesabu
  7. U

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wakuu naombeni App nzuri ya kuangalia hii mechi live
  8. U

    JamiiForums Tanzania Kuna rafiki yangu ana changamoto ya kazi msaaidieni ana hali mbaya kiuchumi

    Kuna jamaangu huko Morogoro alikuwa anatafuta kijana kwenye shughuli zake, Ngoja nitawasiliana naye kufikia kesho nifuate pm Narudia nifuate kama uko serious hapo kesho,
Back
Top Bottom