Recent content by useyourcommonsensetothink

  1. useyourcommonsensetothink

    Kijana, don't settle with your agemate

    Upotoshwaji wa wazi. Acha kukariri Maisha
  2. useyourcommonsensetothink

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Tumezoea viongozi wetu na vyombo vya habari vya Bongo hutoa taarifa pale wanapokutana na viongozi mbalimbali wa kimataifa. Nimejaribu kutafuta habari ya mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje na Mwendesha Mashitaka wa ICC, lakini sijaona kabisa kwenye vyombo vyetu vya habari au taarifa yoyote rasmi...
  3. useyourcommonsensetothink

    PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

    hawa wa ndio viongozi wa Tanzania eti.. what a trash
  4. useyourcommonsensetothink

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    sasa hakuna njaa, alafu inategemea upo kitengo gani,.. mbona unajikanganya mkuu?
  5. useyourcommonsensetothink

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Nimesikita kuwa katika taasisi zenye mishahara mizuri—Taasisi zinazolea watoto wetu kuwa watu bora, Taasisi ambazo zinatakiwa kuleta bunifu zitakazochochea uchumi wetu, na kutengeneza ajira—hakuna hata moja kwenye list. Sijaona taasisi ambazo watu wake wanapigania uhai wetu. Je, ni sahihi...
  6. useyourcommonsensetothink

    Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    mkuu tambua kuwa, marafiki wako wengi fb ni wajinga. Unachopenda kutafuta fb ndicho unakiona kila mara
  7. useyourcommonsensetothink

    Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    Point taken, boda boda wanafuata sheria sana. njoo TZ sasa.
  8. useyourcommonsensetothink

    Bongo zozo amepost picha ya watoto wake na kuandika "madini niliyoiba" huku akiweka wazi kuwa watoto wake wameporwa uraia wa Tanzania na serikali

    Nikisoma comments humu ndani, ninaona namna gani serikali imejaa vijana takataka, wasio na waledi. Kwa kweli, inasikitisha, Tanzania tulipo ni pabaya, tumefikahe hapa?. Watu bila soni pamoja na yote yaliotokea, , bado wanatetea maovu haya???. Are we truly humans or demons in human form??. Kama...
  9. useyourcommonsensetothink

    Kwanini unapoongea na mtu humwangalii machoni?

    Baadhi ya nchi au tamaduni, kuongea na mtu, huku ukimwangalia usoni, ni rude, aggressive, or disrespectfu behaviors.
  10. useyourcommonsensetothink

    Hivi ni mimi pekee ninaepata changamoto na customer care ya CRDB bank?

    Huduma ma kwa ujumla. nimetoa mfano cross-border transfer, muhimu zaidi ni customer care.
Back
Top Bottom