Recent content by useyourcommonsensetothink

  1. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kupewa heshima ya umakamo mwenyekiti. Nitakua mchoyo wa fadhira nisipotia neno kuhusu KATAA NDOA

    Sasa, na sisi ambao tulibahatia kupata mabinti bikra pamoja na kuwa na umri ukubwa (> 27), tusemeje sasa?. KATAA NDOA?.Mabikra bado wapo Mkuu. sema tu, sometimes, hao ni umiza kichwa pia.
  2. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana, don't settle with your agemate

    Upotoshwaji wa wazi. Acha kukariri Maisha
  3. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Tumezoea viongozi wetu na vyombo vya habari vya Bongo hutoa taarifa pale wanapokutana na viongozi mbalimbali wa kimataifa. Nimejaribu kutafuta habari ya mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje na Mwendesha Mashitaka wa ICC, lakini sijaona kabisa kwenye vyombo vyetu vya habari au taarifa yoyote rasmi...
  4. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

    hawa wa ndio viongozi wa Tanzania eti.. what a trash
  5. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    sasa hakuna njaa, alafu inategemea upo kitengo gani,.. mbona unajikanganya mkuu?
  6. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Nimesikita kuwa katika taasisi zenye mishahara mizuri, taasisi zinazolea watoto wetu kuwa watu bora. Taasisi ambazo zinatakiwa kuleta bunifu zitakazochochea uchumi wetu, na kutengeneza ajira, hakuna hata moja kwenye list. Sijaona taasisi ambazo watu wake wanapigania uhai wetu. Je, ni sahihi...
  7. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    mkuu tambua kuwa, marafiki wako wengi fb ni wajinga. Unachopenda kutafuta fb ndicho unakiona kila mara
  8. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    Point taken, boda boda wanafuata sheria sana. njoo TZ sasa.
  9. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mdada nafanya naye kazi ofisi moja, nampenda lakini naogopa kumwambia — nifanye nini?

    amesndwa tongoza mtoto wa kike.. life huko nje litakuwaje?:p
  10. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania BongoZozo amepost picha ya watoto wake na kuandika "madini niliyoiba" huku akiweka wazi kuwa watoto wake wameporwa uraia wa Tanzania na Serikali

    Nikisoma comments humu ndani, ninaona namna gani serikali imejaa vijana takataka, wasio na waledi. Kwa kweli, inasikitisha, Tanzania tulipo ni pabaya, tumefikahe hapa?. Watu bila soni pamoja na yote yaliotokea, , bado wanatetea maovu haya???. Are we truly humans or demons in human form??. Kama...
  11. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania Kwanini unapoongea na mtu humwangalii machoni?

    Baadhi ya nchi au tamaduni, kuongea na mtu, huku ukimwangalia usoni, ni rude, aggressive, or disrespectfu behaviors.
Back
Top Bottom