Tumezoea viongozi wetu na vyombo vya habari vya Bongo hutoa taarifa pale wanapokutana na viongozi mbalimbali wa kimataifa.
Nimejaribu kutafuta habari ya mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje na Mwendesha Mashitaka wa ICC, lakini sijaona kabisa kwenye vyombo vyetu vya habari au taarifa yoyote rasmi...
Nimesikita kuwa katika taasisi zenye mishahara mizuri—Taasisi zinazolea watoto wetu kuwa watu bora, Taasisi ambazo zinatakiwa kuleta bunifu zitakazochochea uchumi wetu, na kutengeneza ajira—hakuna hata moja kwenye list. Sijaona taasisi ambazo watu wake wanapigania uhai wetu. Je, ni sahihi...
Nikisoma comments humu ndani, ninaona namna gani serikali imejaa vijana takataka, wasio na waledi. Kwa kweli, inasikitisha, Tanzania tulipo ni pabaya, tumefikahe hapa?. Watu bila soni pamoja na yote yaliotokea, , bado wanatetea maovu haya???. Are we truly humans or demons in human form??. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.