PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Gentleman,
ICC haideal na mambo ya porojo au uzushi useless na nonsense kama unavyofikiria.

ICC ni open world institutions,
mambo yake yote inayokusudia kuyafanya yako wazi kwenye portal yake ambayo iko updated daily, na nchi ambazo ziko kwenye uchunguzi wa uzushi wa ukiukaji wa haki za binadamu zimeorodheshwa kwa uwazi kabisa.

Ramli, uzushi na porojo nonsense za vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi haziwezi kuipeleka Tanzania ICC hata siku moja :NoGodNo:
downloadfile.jpg
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watala.

ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Ni kama nakumbuka kukutahadhalisha wewe na wote mnaotegemea kufanyiwa mambo yetu na watu toka huko nje.
Kwa nini tuweke matumaini yetu kwa watu wengine? Hili ndilo swali linalonitatiza sana.

Kwa nini tumekuwa walemavu kiasi hiki, cha "kutegemea", wakati sisi tunabaki tu kuhimiza wafanye?
Tunategemea pia watuletee maendeleo; kazi ambayo huyo unayetaka wamshughulikie naona na yeye ndicho kipaumbele chake; kutafuta watu waje watupe maendeleo!

Huu umekuwa ugonjwa mbaya sana wa akili kwa taifa hili.
 
Unategemea wengine watoke, wewe ujaze viazi,vitunguu,nyanya nk ndani ukifiatilia na kuhamasisha mitandaoni
Wewe upo hapa mtandaoni ukifuatilia kitu gani; kujipa matumaini kwamba hawapo wanaotaka kuwaondoa hao waovu madarakani, wanaokuwezesha wewe uendelee "kujaza viazi, vitunguu, nyanya...."!
 
Unafikiri ICC inaongozwa na lissu au lema au heche au kitima we lofa?!!!
 
hakuna kubabaika wala kupanic kwasababau ya porojo na uzushi useless & competently nonsense kuhusu wajibu, kazi na majukumu ya ICC gentleman,

zingatia maelezo yangu ya msingi hapo juu, na itakusaidia sana wewe na malofa wenzio msioelewa namna ya chombo hicho cha ulimwengu kinavyofanya kazi zake,
samahani kuwaita malofa kuhusu ICC :NoGodNo:
Gentleman,
ICC haideal na mambo ya porojo au uzushi useless na nonsense kama unavyofikiria.

ICC ni open world institutions,
mambo yake yote inayokusudia kuyafanya yako wazi kwenye portal yake ambayo iko updated daily, na nchi ambazo ziko kwenye uchunguzi wa uzushi wa ukiukaji wa haki za binadamu zimeorodheshwa kwa uwazi kabisa.

Ramli, uzushi na porojo nonsense za vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi haziwezi kuipeleka Tanzania ICC hata siku moja :NoGodNo:
hawa wa ndio viongozi wa Tanzania eti.. what a trash
 
Walio
Tukiongelea ICC mnapaniki, utadhani sisio ndio tuliwatuma muue watanzania kama kuku.
Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile.
Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU
Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
 
Walio
Tukiongelea ICC mnapaniki, utadhani sisio ndio tuliwatuma muue watanzania kama kuku.
Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile.
Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU
Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watawala.

Kwahiyio, ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Mtaishia kuumia ndani ya mioyo yenu, mwaka 2030 mtauona upo mbali sana.

SSH tulimchagua sisi, yupo pale akitimiza ilani aliyopewa. Mliposusa labda hamkujua kuwa yapo maisha baada ya uchaguzi mkuu.
 
Hawa jamaa tunaomba watoe kipaumbele kwenye mashitaka dhidi ya hawa waauji na ambao mpaka sasa wameshindwa kuwajibika wala kuwajibishana..

Hawatakiwa kukalia ofisi za umma hata kwa sekunde moja.

Ni chukizo hata kuwaona wakitoa kauli kama viongozi au watawala.

Kwahiyio, ICC msituchelewesha hata kama mna taratibu zenu.
Hakika!
 
Kama aliondolewa kwa nini asiondoke? Inawezekana.
 
Back
Top Bottom