Recent content by USER2013

  1. U

    Kuna shida gani CRDB salary advance

    Je uko up to date kwenye marejesho? Wafanyakazi wenzio wako up to date kwenye marejesho? Hakuna watu wamekimbiza mishahara kwenda kwingine? Mshahara wenu unafika kwa wakati? Check kwanza hizo kitu maana service huwa inasitishwa kama kuna vitu kama hivyo hapo juu
  2. U

    Vitenge kwa bei ya jumla kuanzia vitatu

    Hizo pc tatu lazima zifanane?
  3. U

    Inawezekana kuongeza makato ya mkopo benki?

    Mkataba wa kukopa ni wa kwako, kwa hiyo unaweza kubadilisha marejesho utakavyo. Cha msingi makato yasizidi kiwango cha ukomo cha kukatwa kilichowekwa na benki na/ama mwajiri.
  4. U

    Barabara ya Ali Hassan Mwinyi kufungwa kesho masaa 7 kupisha uzinduzi ofisi ya CRDB

    Naona povu jingi kwa taarifa ambayo hatujui chanzo chake wala kujua kama kuna ukweli gani ndani yake. Najua kama madam President ndo mgeni rasmi yaweza kufungwa kwa muda kupisha kufika na kuondoka lakini sio kwa masaa yote. Hii ni fake news kama fake news zingine
  5. U

    Ni heri kubariki ndoa kuliko kufunga harusi

    Kwani kubariki na kufunga ndoa kuna tofauti gani vile? Na ni kwa mujibu upi tunatengeneza hizi definition?
  6. U

    Kwanini wazazi wengi bado wako 'obsessed' na As na Bs za matokeo ya mitihani?

    Wakati tunazungumzia problem solving tusiangalie mega problems. Hawa pia ni problem solvers kwenye maeneo yao, be it kwenye familia zao. Lakini pia hata huko wanakoajiriwa pia wanasolve problems. Sisi sote tunao wajibu wa kuwaunganisha hawa wanaofaulu na zile skills za maisha pia. Tunapokosea...
  7. U

    INAUZWA Nauza viti na meza vya mbao kwa ajiri ya mgahawa

    Mkuu huu mzigo unapatikana wapi?
  8. U

    Itanigharimu kiasi gani kutalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti?

    Mkuu samahani, urahisi wa kuingia hifadhini ni kutokea Arusha huku au mwanza? Au je wewe unawapokea wateja wako kutokea upande upi?
  9. U

    Nina leseni daraja E nataka kwenda NIT. Mwenye uzoefu naomba muongozo

    Ukiingia tu kwenye website ya NIT utapata majibu yooote.. course gani zipo kama ni PSV, kama Ni gari za mizigo, kama ni VIP n.k. kisha utajua ratiba tarajiwa inaanza lini na inachukua muda gani. Utaambiwa pia mahitaji ya uzoefu wa kuendesha na leseni ya kuwa nayo kwa kila aina ya course. Kila la...
  10. U

    Msaada: Wakala au ATM waweza toa pesa nyingi?

    Inategemea na benki unayotumia. Kwa kawaida wakala anaweza kutoa kiasi kikubwa sema.ndo inabidi uangalie wakala mwenye float kubwa..wengine hata milioni 1 hupati. Then kama walivyosema wadau hapo juu ukiwa na kadi yenye hadhi kubwa unatoa pia kiasi kikubwa.
  11. U

    Dereva wa Sauli kababatizwa

    Kwa wale waenda masafa marefu na magari yao binafsi, ni nani huwa anazifuata hizo sheria za barabarani 100%? Ni vile kaotewa tu na mheshimiwa waziri
  12. U

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Mfumo wa kodi za magari ndo changamoto. Miaka kadhaa iliyopita ilikuwa unaweza kuwaza kwamba angalau kodi jumla zitakuwa 60% maximum ya bei ya kununulia. Ila sasa hivi ni 100%+ ya thamani ya kununulia.
  13. U

    Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu

    Mifumo ya "wanachama" wa kuendesha hizi club umezifanya zikashindwa kuweka utaratibu mzuri wa kuendesha mambo yake. Tujiulize maswali kadhaa hapa. Je hawa wanaoitwa wanachama wamekuwa wakiziendesha clubs kwa michango yao au bado wamekuwa wakitegemea "hisani" za watu wengine? Je kwa mfumo wa...
  14. U

    Ushauri wangu kwa SUMATRA kuhusu magari ya Sauli

    Kiukweli changamoto pekee niliyoiona kwa Suali na Newforce ni kufanya overtaking kwa kujiona miamba ya barabara. Ila kinachofanya wao wawahi kufika kuliko wengine ni ufanisi wao wa kujali muda. Hawana vituo vingi, hawana poteza muda barabarani. Ila wakifika vituo vyao kabla ya muda kwa mujibu...
Back
Top Bottom