sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,020
- 5,252
Kulikuwa na haja gani Mungu kumpa mtu akili ya kuunda/kutengeneza magari?Watanzania tunaendekeza na kupenda sana anasa kwa mambo ya kipuuz kama magari na umeme wakati Mungu katuumba na miguu. Kulikuwa na haja gani basi kuwa na miguu? Mazinjathropus na binadamu wa awali walikuwa hawatumii magari na umeme na Maisha yao yalikuwa bora na nafuu kutuliko.