Msaada: Wakala au ATM waweza toa pesa nyingi?

Msaada: Wakala au ATM waweza toa pesa nyingi?

goodfool

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
1,668
Reaction score
996
Nitoeni ushamba, Je, wapi unaweza toa pesa kwa mkupuo kiasi zaidi ya M5 iwapo kwa ATM limit ni 2 milioni.
 
Kwankn huea znatoa vipande vipande
 
Inategemea na benki unayotumia. Kwa kawaida wakala anaweza kutoa kiasi kikubwa sema.ndo inabidi uangalie wakala mwenye float kubwa..wengine hata milioni 1 hupati. Then kama walivyosema wadau hapo juu ukiwa na kadi yenye hadhi kubwa unatoa pia kiasi kikubwa.
 
Back
Top Bottom