Huo ni upumbavu wa kiwango cha juu Sana. Hata wewe ukiwa raisi utafanya hayo kwani ni Kazi za serikali yeyote Duniani. Tunataka Uhuru halisi wa watu, maendeleo ya watu na Haki kwa kila Mtu.
Pili hilo Daraja ni Project ya Jakaya tenda ilitangazwa kipindi cha Jakaya. Hata huo mchoro...
Nikwamba Mitambo kule Songo songo imezimwa na kufunga bomba na bungu bomba linalopeleka kinyerezi limefungwa. Tuna subilia Gas iliyopo hapo hati kati so iishe kabisa ndio tupite, huenda ikawa kesho. Tupo Somanga tunakunywa supu ya Samakai
Maombo yenu ni Muhimu sana kwani Mpaka sasa tumekwama katikati ya Somanga na Tingi kwani kunamlipuko mkubwa wa Gasi itakayo Songosongo. Njia imefungwa mpaka sasa na hakuna uhakika wa kupita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.