HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,366
- 94,547
Sema neno ndugu mtanzaniaDuh!.
P
Sema neno ndugu mtanzaniaDuh!.
P
Isingeficha maana kuna abiria wako uwanjani wanatafutiwa pakulala na kesho wapewe ndege ingine asubuhiAfadhali Kwa hili serekali imeamua kutoka kusema ukweli badala ya kusubiri watu wengine waseme alafu kubisha kama Ile ya Kwanza Canada
Kuna wakandarasi kibao wanaidai serikali. Mmoja wapo KonoikeHizo si za serikali, inakuwaje zinazuiwa tena na mahakama? Au serikali inadawa!
Labda ifanye safari za ndani. Mabeberu wapo kila mahali.Sababu zipi za msingi za kuzuia? NINGEKUWA PREZI DAA HAKI YA NANI KAMA SABABU NI ZAKITOTO NAFUKUZA UBALOZI WAO KWANGU KISHA NATOA WANGU KWAO HALAFU SIPELEKI NDEGE YANGU TENA HUKO! Nchi zipo nyingi za kupeleka watu.....
Mtoto wake ndo yuko form 1. Hutaki aendelee soma tena?Nasibiri kiongozi wa Praise team Msigwa naye aposti.
Duh hamna pa kupumulia!Kuna wakandarasi kibao wanaidai serikali. Mmoja wapo Konoike
Mabeberu na mifumo yao ni noma sana....Mwalimu aliwashindwa hao watu
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza kwa abiria wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliokuwa wasafiri kutoka Johannesburg kwenda jijini Dar
Ameomba radhi hiyo kutokana na abiria hao kushindwa kusafiri kutoka uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg baada ya ndege hiyo kushindwa kufanya safari kama ilivyopangwa kutokana na kuzuiwa
Kwa mujibu wa taarifa ambayo Serikali imepokea, ndege hiyo imezuiwa kwa amri ya Mahakama Kuu ya Gauteng, Johannesburg na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inafuatilia ili ndege iachiwe
View attachment 1188590
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza kwa abiria wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliokuwa wasafiri kutoka Johannesburg kwenda jijini Dar
Ameomba radhi hiyo kutokana na abiria hao kushindwa kusafiri kutoka uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg baada ya ndege hiyo kushindwa kufanya safari kama ilivyopangwa kutokana na kuzuiwa
Kwa mujibu wa taarifa ambayo Serikali imepokea, ndege hiyo imezuiwa kwa amri ya Mahakama Kuu ya Gauteng, Johannesburg na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inafuatilia ili ndege iachiwe
View attachment 1188590