mwache na simple life yake huwez kujua huku Arush ana nn DAR huko ni ofis tu kwake ni huku kaskazini... Joh Ndo maana akajiita mwamba wa kaskazn... kwao n sinon daraja2.
diamond this is not fair kabisa, kabisa hiyo statment hukutakiwa kuitoa hadharan kama unampenda madam..ungempa mwongozo kupenda siyo umpende kitandan tu. penda na madhaifu yake Kwan ukamshaur hatakuckiliza....?If Wema is down nakwambia kuna namna na wewe utapwelea!..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.