Wanawake jitahidini kuwa na sauti nyororo

Wanawake jitahidini kuwa na sauti nyororo

mmh, snowhite lini mi na wewe tunasingiziana sauti nyororo?

Hizi id zinaficha mengi.

Kumbe nilidanganywa na snowhite kuwa sauti yako ni kama summer rain, kumbe ni kama thunderstorms
 
Last edited by a moderator:
akurembee unamgonga? yuko anayempenda na saut yake nzito hivyohivyo ndio maana vidole havilingani!
 
nataka bana..tena iwe nyororo ya kumtoa nyoka pangoni, maana naona wenye mibesi tushaanza kunangwa.

Hahahah!!!

Sasa ukiwa na sauti hiyo kipenzi si utajaza nyoka nyumbani!!!
 
Kweli ofisi mizigo mnachunguza mpk sauti za client wenu!!!!!!!!!
 
Baby stop wapi??mnapata wapi muda wa kuongea ongea mkitiana??game ikiwa hot hayo mambo yenu yakuongeaongea hakuna kabisaaaa

Watu walishawahi kuita washenga kwa ajili ya kufanya mapenzi kibubububu, vijimaneno katika kutiana navo vina nafasi yake katika kunogesha kunako 6kwa 6 nakushauri na wewe uanze kuviaply
 
weeh badili hiyo sauti halafu mangi akupige chini ndo utajua kwa nini lara 1 et al wanajishaua hawataki kuolewa na huku wanatamani free rent!
hivi unajua mie ningekuwa mpole kama Kongosho najua kabisa paw asingenipenda? huu ukorofi wangu ndo anaupendeamo atii
King'astiiiiiiii guanzhou hakuna kadude kakuweka shingoni niongee kama masista wa konvetini?
 
Last edited by a moderator:
wakati mwingine mambo ya sauti ni biological issues mkuu ndo maana kuna na wanaume wana sauti ndogo kama wadada. Tatizo la vichocheo mwilini
 
Kama mtu kinywaji chake ni mbege sauti itaacha kukoroma?
 
Difinisheni ya upole imebadilika? Nimegundua wanamme wanapenda wanawake wakorofi, ukiwa mpole sana anakuwa aido.

weeh badili hiyo sauti halafu mangi akupige chini ndo utajua kwa nini lara 1 et al wanajishaua hawataki kuolewa na huku wanatamani free rent!
hivi unajua mie ningekuwa mpole kama Kongosho najua kabisa paw asingenipenda? huu ukorofi wangu ndo anaupendeamo atii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom