Unazuiaje hasira zako?

Unazuiaje hasira zako?

mi huwa natafuta baa mpya, nakunywa spirit had nickie mishipa ya kichwa inagonga. kama bado namtafuta bob...
 
Simple sana kwangu.
Kama nakufahamu kwa jina basi natafuta karatasi then naandika jina lako kwenye ile karatasi then naikunjakunja bila mpangilio halafu naitupia kwenye dustbin au jalalani. Basi nikifanya hivyo nakuwa na amani sana.
 
Mie uwa naenda beach au sehem yenye maji mengiii nafungulia mziki taratiiiibu uku nayatizama maji ole wako unipigie simu utakayojibiwa utawasilimua na wajukuu zako uzeeni mwe hasira mbaya.....
 
Huwa nakaa kimya, kisha natoka eneo la tukio nikiwa pekeangu najiuliza maswali mawili:
1.Effect ambazo zingepatikana kama ningereact?
2.Effect ambazo zitapatikana nisipo react.

Namba itakayokua na effect ndogo ndo huwa nafanya.
Ila mara zote huwa nachukua namba 2.

JIULIZE MASWALI KADHAA KABLA HUJAFANYA MAAMUZI
 
Mimi ni mgumu sana, sana, kukasirika ila nikikasirika mziki wangu hauzimiki...yaani cwez kuelezea ila mpaka nikasirike itakuwa nimeudhiwa kwl.
 
Mimi ni mgumu sana.. sana kukasirika ila nikikasirika mziki wangu hauzimiki...yaani cwez kuelezea ila mpaka nikasirike itakuwa nimeudhiwa kwl.
 
Nimepata na nafsi yangu nikikasirishwa nakaa mahali alone nasort then nadelete yale maudhi then nakuwa normal ndani ya muda mfup kam dk 5 na hutajuia nimekasirika kwa kiwango gani. Hasira ni kuendekeza but u can control to the minimum
 
Mimi nikikasirika nakaa kimya tu. Najishusha hata kama nimekosewa. Naomba msamaha na kupotezea.
 
Mi nitalalamika weeeee af nasema na moyo wangu then napata jb likitoka we ushasahaug tukio mwenzio ndo majb yanaanza kujtokeza taratbu ad una surenda.
 
Nalala nkiamka hacra zimeisha..but inadepend na hacra zenyewe...mana nying Ni had I ulipize
 
Kama n kipigo au makavu palepale cnaga cfa ya kutunzakitu au kujizuia_nakupa palepale tunayamalza
 
Back
Top Bottom