Mwenyekiti wa Uvccm wilaya ya Arusha mjini Martin Munisi amelitaka jeshi la polisi kumkamata Mara moja mbunge wa jimbo la Arusha mjini Chadema God bless Lema kwa kitendo chake cha kusema Mh raisi atakufa kabla ya 2020 kama hatawasikuliza wao chadema Mwenyekiti Martin Munisi ameyasema hayo jioni...
UVCCM imeendelea kupoteza mvuto mbele ya umma na serikali yake.
Kwanza haikuwa na mchango wowote kwenye uchaguzi zaidi ya uvujaji wa fedha za jumuia, aliyeibua wizi wa uuzwaji wa viwanja na ufujaji wa fedha za jengo la makao makuu MWALIMU EGLA MWAMOTO amesimamishwa nafasi yake ya Katibu Idara...
#KAULI ZA wenye KAULI
JE, KUNA MKAKATI WA SIRI KUHUSU UFAULU WA WANAFUNZI SHULE ZA BINAFSI?
Kwa muda mrefu sasa shule za sekondari za binafsi nchini Tanzania zimeendelea kushika nafasi za juu katika mitihani mbalimbali inayoongozwa na baraza la mitihani la Taifa, NECTA.
NECTA ni baraza la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.