Tatizo la vijana wengi mnaokurupuka kumsema Mwenyekiti Patrobas, wote ni watu ambao tunawafahamu, tunajua nini mnafanya na kwa nini. Tunapoelekea kuchukua serikali, tunahitaji strategies, tunahitaji mbinu na zaidi sana tunahitaji substantial Activities, unapozungumza kuhusu era ya Heche...