Recent content by Urgent

  1. U

    GE2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

    Mbona mnakuwa wambeya!? Uchaguzi ndio unaendelea na upigaji Kura haijaisha, hao Viongozi wakuu wanaporaje Kura!?
  2. U

    Mbowe soma alama za nyakati unapingwa mpaka na wasiri wako wa muda mrefu

    Kuna watu mna vichwa vya panzi sana, wewe Benson Mramba ulikuwa Makao Makuu ya Chama kwa kubebwa na Komu, na unajulikana kuwa uliiba hela nyingi wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2015
  3. U

    Sijui Nimtafune?

    Mkuu toa namba yake kuna shida hiyo bidada asaidiwe
  4. U

    Shujaaa mpya wa TAHLISO ni Francis Ndunguru

    Yaani yuko SUA anataka Uenyekiti wa TAHLISO!? Akifukuzwa tena kwa kudisco ndiyo aseme yeye ni mwanaharakati ndio maana kadisco!?
  5. U

    Kwa mabilioni haya ya Ruzuku CHADEMA, Tutamjua Mbowe ni Nani

    Subirini Magufuli awanyooshe ndio mtajua kama ruzuku ya CHADEMA inawahusu, au kinachowahusu ni kukimbiana, pu..........
  6. U

    Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

    Nchi hii bado ina wabunge!?
  7. U

    GE2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

    Kwa jinsi unavyoandika tu inaonyesha hujui unachoandika! Silaha Mboe
  8. U

    Deo Meck: Nilijiuzulu na kujivua uanachama NCCR-Mageuzi toka 3 June, 2015

    Deo Meck, wewe ni kiumbe dahifu kuliko udhaifu wenyewe, unajaribu kutafuta umaarufu katika wakati maarufu kweli? If you harbor a terrorist you are a terrorist too......
  9. U

    G. Kabaka: Wabunge wawili wa upinzani wamekuwa wakichochea mgomo wa madereva nchini

    CCM imechoka, na viongozi wao wakiongozwa na Kikwete walishasema wamechoka, na hata Pinda wakati akitoa agizo Polisi kupiga tu, alisema wamechoka, sasa Kabaka anaonyesha jinsi walivyochoka kwa kusingizia mchana kweupeee
  10. U

    Kuna kitu hakiko sawa BAVICHA

    Tatizo la vijana wengi mnaokurupuka kumsema Mwenyekiti Patrobas, wote ni watu ambao tunawafahamu, tunajua nini mnafanya na kwa nini. Tunapoelekea kuchukua serikali, tunahitaji strategies, tunahitaji mbinu na zaidi sana tunahitaji substantial Activities, unapozungumza kuhusu era ya Heche...
  11. U

    Zitto Kabwe yupo live EFM radio, Asema hagombei Uenyekiti ACT Tanzania

    Kiongozi MKUU WA CHAMA, ambaye kimamlaka yuko juu ya viongozi wote wa chama, kama ilivyo serikali ya Ujerumani. Na hicho cheo cha KIongozi Mkuu hakigombewi
  12. U

    Zitto Kabwe yupo live EFM radio, Asema hagombei Uenyekiti ACT Tanzania

    Kiongozi MKUU WA CHAMA, ambaye kimamlaka yuko juu ya viongozi wote wa chama, kama ilivyo serikali ya Ujerumani.
Back
Top Bottom