Recent content by Urassa sunday

  1. U

    Kuna haja ya kulala ukweni?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bro mbavu zangu!
  2. U

    Wasifieni wake zenu! Kuna nguvu kwenye kusifu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unaujinga mwingi wewe!
  3. U

    Mwanamke anayesumbua kukukubali, huyo siyo mwanake wa kuoa

    Nafikiri jamaa hujamuelewa vizuri....KUNA AINA YA MWANAMKE unamtongoza lakini ile tu ukimsoma usoni (facial expression) unaona kabisa naye anakukubali the way anavyokujibu yaani unakuta anakupa ushirikiano, mkipanga mtoko anakuja na hata asipokuja anakupa sababu ya msingi na anakuwa mnyenyekevu...
  4. U

    Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

    Ripoti ipo wazi inajitosheleza watu wengi wana ufahamu wa kusoma,kuielewa na siyo mpk hizo kamati ndo zitutafsirie.....Kwani imetumika lugha ya kiispaniola? Tumeshajua tumepigwa mchana kweupe
  5. U

    Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

    Kweli kabisa upo sawa ndugu....Yule ndugu ukimkosoa tu ni dhambi kubwa lazima akushughulikie
  6. U

    99.9% ya mashemeji wanagongana sana

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. U

    Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We jamaa umenichekesha aisee.....sasa siye ambao gari zetu full kunuka petrol ndo tumekosa siyo!
  8. U

    Dah! Vijana wenye vigari mjini wanatamba sana

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. U

    Viongozi CHADEMA Mungu awatie moyo

    Wewe Jamaa Upo Kama Mimi YAANI NIKIPIGA KURA CHADEMA SIJUI kwanini huwa nasikia TU amani moyoni HATA kama hawatashinda. UZURI WA CHADEMA haiogopi KUFUKUZA MTU HATA AWE NANI, NAKUMBUKA ZITO KABWE alifukuzwa NA BADO chama kipo imara......hivyo sitoshangaa endapo wakiwatimua viongozi waliokiuka...
  10. U

    Serikali iongeze kodi 90% endapo kutakosekana Wabunge wa Upinzani Bungeni kuziba pengo la Trilioni 2

    SIYO WIVU JAMAA KAONGEA UKWELI MTUPU SASA WEWE UNADHANI HIYO TRILIONI 2 ITATOKA WAPI KAMA SIYO KUKAMUANA SISI WENYEWE KWA WENYEWE
  11. U

    GE2020 Selemani Bungala (Bwege) asema Magufuli hakushinda kihalali. Atolea mfano wa aliyoshuhudia katika vituo viwili jimboni kwake

    ACHA HOJA ZA KITOTO NA WEWE!.....WAKALA GANI SASA HIVI ANAWEZA KUFUNGUA MDOMO NA KUELEZA HAYO, KILA MTU ANAYAPENDA MAISHA YAKE NDUGU......HATA WAKALA AKIONGEA HAISAIDII KITU ZAIDI YA KUMUINGIZA MATATIZONI
  12. U

    GE2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

    HAYO HAYATUTISHI PIGA KURA NENDA NYUMBANI YAANI UNADHANI KURA NDO ITAKAYOAMUA KILA KITU.....POLE BRAZA
  13. U

    Mabere Makubi ni Spencer Lameck Jr

    Nauliza hivi yule aliyekuwa mtangazaji wa ITV "Superbrand Tv" yupo wapi? maana alikuwa maarufu sana kwenye kampeni za Mwaka 2015 akiwa anaripoti na kusafiri na msafara wa mgombea Urais wa Chadema enzi hizo Mh.Lowassa. Nakumbuka kwa upande wa CCM kulikuwa na mhandishi anayeripoti kampeni za...
  14. U

    Hela ya mchezo na marejesho ndio chanzo cha wadada wengi kuliwa kiulaini siku hizi

    HII NI KWELI KABISA KWA ASILIMIA MIA MOJA....MIMI IMESHANITOKEA NINA BIASHARA YANGU YA HARDWARE KUNA WAKE WATATU WA MTU NIMESHAWALA MPAKA SASA......KILA MMOJA KWA NYAKATI TOFAUTI WALIKOPA PESA ILI WAKAFANYE MAREJESHO ILA NILIPOKUWA NIKIDAI WALIKUWA WAKINIZUNGUSHA NA KUNICHEKEA...
  15. U

    Namba D, A, C kwenye magari zinamaanisha nini?

    WEWE JAMAA UNACHEKESHA KWELI NAMBA SIYO ISHU KWENYE GARI.....ISHU NI MATUNZO YA GARI ZIPO GARI NI NAMBA D LAKINI UKIZIANGALIA TU UNACHOKA YAANI KIMUONEKANO IPO CHINI KULIKO NAMBA A KUNA WATU WANAPIMP MAGARI YANAPENDEZA BALAA
Back
Top Bottom