Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Viongozi CHADEMA mmepambana na changamoto kubwa sana kutoka utawala huu wa CCM,endeleeni kufanya maamuzi sahihi kwa maslahi ya chama.
Sijawahi kuchukizwa kwa maamuzi mbalimbali mliyoyafanya kwa mwanachama aliyeikosea CHADEMA ,mliwaadhibu wakosefu ipasavyo na kwa haki hila kujali nafasi zao.
Kwa sisi wapenda mabadiliko hatupendi kuona upinzani hasa CHADEMA inakufa,najiuliza upinzani ukifa kura yangu nitampigia nani?
Sijawahi kuipigia kura CCM katika chaguzi zote hata kama inashinda kwa hila.Nina hofu CHADEMA ikifa sisi wasakatonge tutadharauliwa sana.
Ogopa kuishi katika nchi ambayo serikali yake inauhakiki wa kushinda uchaguzi kwa njia yoyote wanachi mtaongozwa kama gari bovu.
Sijawahi kuchukizwa kwa maamuzi mbalimbali mliyoyafanya kwa mwanachama aliyeikosea CHADEMA ,mliwaadhibu wakosefu ipasavyo na kwa haki hila kujali nafasi zao.
Kwa sisi wapenda mabadiliko hatupendi kuona upinzani hasa CHADEMA inakufa,najiuliza upinzani ukifa kura yangu nitampigia nani?
Sijawahi kuipigia kura CCM katika chaguzi zote hata kama inashinda kwa hila.Nina hofu CHADEMA ikifa sisi wasakatonge tutadharauliwa sana.
Ogopa kuishi katika nchi ambayo serikali yake inauhakiki wa kushinda uchaguzi kwa njia yoyote wanachi mtaongozwa kama gari bovu.