Kalale halafu usiku ukienda kukojoa uparamie masufuria uambie unaiba mboa![]()






Kalale halafu usiku ukienda kukojoa uparamie masufuria uambie unaiba mboa![]()


CAPITAL, BOLDED, ITALIC, UNDERLINED AND HIGHLIGHTED HAPANA..!!Waheshimiwa malijendi,
Tangu nioe ni miaka miwili imepita.
Ndoa ilihudhuriwa na wazazi wote na ndugu wachache waliopata nafasi.
Kesho nina safari ya mishe zangu tu za kutafuta riziki.
Wilaya niendayo ndiko kilipo kijiji cha wazazi na jamaa wa mke wangu, na nitaenda huko kijijini kuwasabahi na kuwaona baadhi ya ndugu zake.
Je kuna haja ya lijendi kulala pale ukweni au niwasabahi tu kisha nikalale zangu town?
Nimependa maligendi mnapeana kodi, wadogo zenu tunanasa kodi taratibu bila kelele...hahahaNenda Wasabahi then kalale zako Town
Lala ukweni kama upo na Mkeo....
Mwenyewe hivyo.... Wasikujue jue sana lijendi![]()
Mpaka mtoto wa kike kakusanua, hii mada mdg wenu sitowaangusha...sitolala ukweni,Lijend usilale bana, salimia zako then kalale hotelini huko, usijepangwa zamu bure![]()
Akilala ajiandae kupangwa zamu ya usafi homeMpaka mtoto wa kike kakusanua, hii mada mdg wenu sitowaangusha...sitolala ukweni,




Bro mbavu zangu!
Kalale halafu usiku ukienda kukojoa uparamie masufuria uambiwe unaiba mboga![]()
HahahaaaKalale halafu usiku ukienda kukojoa uparamie masufuria uambiwe unaiba mboga![]()
Ndo mnaishia kula tubibi twa watu,mje kujitutumua ati nimemla mkwe kimasihara![]()
















hhahahah, dahh, iv watu mnawazaga nnKalale halafu usiku ukienda kukojoa uparamie masufuria uambiwe unaiba mboga![]()


