Je unataka kuwaua au kuwakimbiza tu eneo hilo? Kama kuwakimbiza dawa yao ni simple sana, we mwagia poda tu sehemu husika, hawafiki ng'o, au hata kama walikuwepo basi fasta lazima wakimbie. Mfano hapo kwenye kijiko chako cha gesi, uwe unambagilia kuzunguka, sisimizi hakanyagi. Jaribu hiyo utanipa...