Recent content by unruly gang

  1. U

    Makonda: Fedha zote za matibabu ya bure kwenye meli katoa Rais Magufuli

    Hii meli inatoa matibabu bure na mheshimiwa jakaya ndo aliorganize mpaka hii meli ikawa inakuja bongo.. Ilikuja mwaka 2010 ndo imekuja tena mwaka huu...Na utaratibu wa hii meli ilikuwa inapokelewa na meya wa jiji na sio kubwa la mazero
  2. U

    Exclusive Report ya GENTAMYCINE juu ya kilichotokea majuzi nchini Zimbabwe

    Hapa sina swali wala sihitaji kutumia nguvu nyingi kuamini hili....
  3. U

    Mwanaume : Hujawahi lengeshwa au singiziwa mtoto. Hujakamilika

    Bila uzinzi mzee hakuna jamii..mimba nyingi hazikuwa planed.. Kama unabisga
  4. U

    Mwanaume : Hujawahi lengeshwa au singiziwa mtoto. Hujakamilika

    Bila uzinzi mzee hakuna jamii..mimba nyingi hazikuwa planed.. Kama unabisha fuatilia mwenyew
  5. U

    CHADEMA wanajidanganya tena sana

    Nimekuelewa kaka...KIukweli kwa nchi nyingi za kiafrika huwezi kuomba uongozi ukiwa mpinzani ni lazima upiganie kweli kupata hyo nafasi
  6. U

    Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika

    Sawa wakuu nitawajuza
  7. U

    Mwanaume : Hujawahi lengeshwa au singiziwa mtoto. Hujakamilika

    Hii imenichekesha maana kuna wanaume wanapata wakati mgumu sana linapofikia suala la uzazi....
  8. U

    RC Makonda atangaza kiama kwa wanaume wanaowapa wanawake mimba kisha kuzikataa

    Hizi nguvu zote anazotumia angezitumia kwa mke wake angeshapata watoto...Mwaka wa sita kwenye ndoa familia ina baba na mama tu halafu anapoteza muda mwingi kuzurura na kukesha kwenye ma night club usiku....
  9. U

    Dkt. Louis Shika aeleza Magumu aliyopitia hadi akatoroka Urusi. Alitekwa na kukatwa Vidole, Tanzania ilimtelekeza...

    NAikumbuka ile clip niliyoiangalia Millard ayo wakati wanatoka kumhoji dk shika anarudi nyumbani anawaaga majirani nkuwaambia usiku mwema....Kuna sauti ya mwanamke inampa pole n kumwambia asilale mpaka apewe chakula hii kauli iliniumiza sana.... Ina maana wamemchukua na kwenda kumhoji bila hata...
  10. U

    Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika

    Sawa mkuu nitaleta mrejesho kuhusu hali ilivyo kwa sasa
  11. U

    Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika

    Hakuna maslah yoyote anayopata katika kihojiwa wala kutembelewa na hizo media...Wao wanaenda kama wana habari kuchukua habari na kuzisambaza kwa manufaa yao wakimwacha mzee wa watu kama walivyomkuta...Leo nitaenda kumtembelea dk shika anapoishi kwa niaba ya vijana wenzangu kadhaa kwenda kuongea...
  12. U

    Balozi Chokala aeleza walivyomsafirisha Dk. Shika kijajusi

    BAlozi chokala ni mzee wangu wa karibu sana ingawa najua kafanya kazi muda mrefu pale ikulu akiwa kama mwandishi wa habari wa raisi na kuna uwezekano mkubwa wa yeye pia kuwa na mafunzo ya secret service...Sina hakika kama nikimuuliza anaweza kunijibu kiundani sana lakini kwa maelezo yake...
  13. U

    watu na taaluma zao

  14. U

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tatizo la kubeti bwana... Kila mwanaume anaebeti amewahi kuliwa....Nani anabisha [emoji23][emoji23][emoji23]
  15. U

    Mikoa yote Tanzania yaagizwa kupima wananchi virusi vya UKIMWI (HIV)

    Kupima ukimwi ni bure watu wajitokeze kupima tu...
Back
Top Bottom