Recent content by Unju27

  1. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mfumo wa ujanja ujanja mnoo ni kama ccm nida na tume ya uchaguzi Tanzania mifumo kuwa kitu kimoko.. 😄 😄
  2. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huko kwa wanasiasa ata sio kwamba wanasingiziwa ukweli ni kwamba wanazivuna pesa,, sisi tuendelee kuishi kwa imani na sie tupate huo mkate (check number) tuzikombea familia zetu japo sio kwa wizi..!!
  3. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Okay nikajua kwa Halmashauri lazima uwende ukafanyie written katika Halmashauri ilipo.
  4. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi usaili wa Halmashauri, unatakiwa kwenda kufanyia usaili katika Halmashauri husika mfano kama uliomba kazi Halmashauri ya NANYUMBU-MTWARA inabidi usaili ukafanyie huko kuanzia written mpaka oral ama, na sio kuanza kufanya kikanda kama kawaida.!!
  5. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tunamiliki imani tu huruma kwa nchi kama Tanzania kutegemea imani maana utakuwa disappointed mpaka unaingia kaburini.... Ila hakuna kukata tamaa kwasababu asie kata tamaa hana tamaa.!! 🙏🏾🙏🏾
  6. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hahaha na umemaliza mwaka gani chuo. 😄 😄
  7. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana sana mkuu.
  8. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mahakama Tanzania paper lilikuwa rahisi nini mbona ni majanga hivi japo cutting point hamtaki kuonyesha.. 😄 😄
  9. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shukrani sana sana mkuu, tupo pamoja..!!
  10. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Jirani na shamba la miwa TPC.. 😄 😄
  11. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakika ndugu yangu ngoja tusizidishe maombi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
  12. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Moshi vijijini sehemu gani huko?
  13. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hahaha daah ok anyway mtaftaji hakat Daah aiseee Mungu afanye wepesi kwakweli ama ndio mwakani mwezi kama huu..
  14. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aaah okay kumbe usaili ni wa taasisi mkuu sio chuo....ngoja tuendelee kusikilizia milio aiseee 🤔 🤔
  15. Unju27

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yeah hakika hakuna kukata tamaa..
Back
Top Bottom