Huko kwa wanasiasa ata sio kwamba wanasingiziwa ukweli ni kwamba wanazivuna pesa,, sisi tuendelee kuishi kwa imani na sie tupate huo mkate (check number) tuzikombea familia zetu japo sio kwa wizi..!!
Hivi usaili wa Halmashauri, unatakiwa kwenda kufanyia usaili katika Halmashauri husika mfano kama uliomba kazi Halmashauri ya NANYUMBU-MTWARA inabidi usaili ukafanyie huko kuanzia written mpaka oral ama, na sio kuanza kufanya kikanda kama kawaida.!!
Tunamiliki imani tu huruma kwa nchi kama Tanzania kutegemea imani maana utakuwa disappointed mpaka unaingia kaburini.... Ila hakuna kukata tamaa kwasababu asie kata tamaa hana tamaa.!! 🙏🏾🙏🏾
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.