Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Unicorn
Recent content by Unicorn
Mke wa Tundu Lissu apewe tuzo
Huu ni moja wa mfano wa ile kauli ya "kwashida na Raha" sio wote wangeweza hili.
Unicorn
Post #9
Jul 27, 2020
Forum:
Celebrities Forum
Kwa kitendo hiki haitoshi kuamini kwamba mpenzi wangu ananisaliti?
Mambo ya Sex chat ndio yamekupelekea kukupa stress saizi pole sana [emoji4]
Unicorn
Post #30
Jul 27, 2020
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
Hama hama ya Wapinzani na matokeo yake
Huu ni mfano mzuri sana mambo ya kuhama hama yanatoka wapi watu wasimamie misimamo yao kama wameshindwa wastaafu tujue moja.
Unicorn
Post #6
Jul 27, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
Umoja wa Mataifa Nchini watoa tahadhari kuja kwa Tundu Lissu
Embu kaa kimya kwanza hujui lolote.
Unicorn
Post #55
Jul 27, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
Hama hama ya Wapinzani na matokeo yake
Wamepata walichokistahili ni watu ambao hawana misimamo bali ni watu wanaopenda madaraka hao watu nadhani kuna chakujifunza hapa kwa waliyowakuta.
Unicorn
Post #3
Jul 27, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Haya mapokezi ni kijiji kipo hapo.
Unicorn
Post #773
Jul 27, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
Wanawake na uandishi wa meseji
Nilijua ni mm peke yangu huwa nakerwa na huu uandishi wao kumbe tupo wengi.
Unicorn
Post #10
Jul 27, 2020
Forum:
JF Chit-Chats and Jokes
Rapper aliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na Jada Pinket Smith huyu hapa
Haya maneno nani kasema [emoji23][emoji23]
Unicorn
Post #61
Jul 20, 2020
Forum:
Celebrities Forum
Rapper aliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na Jada Pinket Smith huyu hapa
Muongo sana huyu jamaa [emoji23][emoji23] ndio na mm nimeuliza August ni Rapper.
Unicorn
Post #60
Jul 20, 2020
Forum:
Celebrities Forum
Rapper aliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na Jada Pinket Smith huyu hapa
August ni rapper? [emoji15]
Unicorn
Post #59
Jul 20, 2020
Forum:
Celebrities Forum
Ushirikina kuanzia Kura za Maoni hadi Uchaguzi Mkuu
Maisha matamu asikuambie mtu lile lilikuwa ni onyo watu wamempa [emoji4]
Unicorn
Post #23
Jul 17, 2020
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Ushirikina kuanzia Kura za Maoni hadi Uchaguzi Mkuu
Huyu mzee kaona isiwe tabu kaacha kuchukua form.
Unicorn
Post #15
Jul 17, 2020
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Kumbe kuna watu wana PhD halafu wanalipwa laki 5?
Kwani kusoma sana ndio kulipwa mshahara mkubwa embu tuanze kufuta hii dhana potofu kuwa lazima usome sana ndio ulipwe uajira mwingi.
Unicorn
Post #125
Jul 17, 2020
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Wadau: Kuwahi kumaliza Tendo la Ndoa na kuchelewa kipi kina madhara? Na kipi ni sahihi?
Nzuri ni kuwahi kumaliza alafu unamuuliza mwenzako kama anataka nyongeza unampataia.
Unicorn
Post #18
Jul 17, 2020
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
Ni sahihi kupanga nyumba ya elfu 70 kwa mshahara wa 450,000?
Unapanga mbona mwingi huo acha uwoga wa maisha kuna watu watakutisha humu na watakuambia ni mdogo lakini unatosha huo.
Unicorn
Post #25
Jul 17, 2020
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Unicorn
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register