Waliohama Toka Vyama Pinzani kwenda CCM na Wameshindwa Kura Za Maoni. Je, Hii Ni Ishara Kwamba Tulipodhani Wananunuliwa Na Kwamba Waliahidiwa Kitu Ilikuwa Dhana Potofu? Au Tusubirie Teuzi Zingine
Uchaguzi Uliopita Kulikuwa Na Usemi Huu "bora Kusimamisha Jiwe Kupitia Upinzani Kuliko Kumsimamisha Mtu Wa CCM" Na Sehemu Nyingi Walifaulu!
Je, Waliohama Ndiyo Mawe Yale Yaliyokosa Mwelekeo Yakasukumiwa Upande Mwingine ambako leo Yamepigwa Nyundo Ya Kushindwa Na Kubaki Kutoa Machozi Ya Vumbi Kwa Kuwa Walikurupuka? Nini Ni Nini?
Nashindwa Kupata Majibu.
Uchaguzi Uliopita Kulikuwa Na Usemi Huu "bora Kusimamisha Jiwe Kupitia Upinzani Kuliko Kumsimamisha Mtu Wa CCM" Na Sehemu Nyingi Walifaulu!
Je, Waliohama Ndiyo Mawe Yale Yaliyokosa Mwelekeo Yakasukumiwa Upande Mwingine ambako leo Yamepigwa Nyundo Ya Kushindwa Na Kubaki Kutoa Machozi Ya Vumbi Kwa Kuwa Walikurupuka? Nini Ni Nini?
Nashindwa Kupata Majibu.