Recent content by under the same sun

  1. U

    nahitaji d link swtch 24ports , gigabit with poe

    kwa mujibu wa kichwa cha HABARI hapo juu wakuu, mwenye iyo kitu, mpya tuwasiliane pls, 0755 656609, au 0782 999791 nipo dar-es-salam
  2. U

    Shule ya msingi Kijenge

    Kijenge mwanama arusha? Au
  3. U

    Ben Mtobwa "tutarudi na Roho zetu" afariki dunia

    Mwenye link atupe basi japo hadithi moja, tupitie! Rest in peace ben mtobwa!
  4. U

    Kuna ulazima wa mke wako kujua misele yako yote kwa 100%?

    Kwa hiyo madame x unamaanisha huwezi kuishi kabisa na kaka jambazi?
  5. U

    Wimbo wa Nay wa mitego Mr Nay Mh

    huyu jamaa ni shida!
  6. U

    Jinsi gani ya kufuta PM za JamiiForums kwenye simu ?

    Msaada nami pia natumia blackberry 8520 ntazifutaje?
  7. U

    Umeshawahi kufanya maamuzi magumu katika maisha?

    Maamuzi magumu ndo kama yapi mkuu embu dadavua kidogo!
  8. U

    Jinsi gani ya kufuta PM za JamiiForums kwenye simu ?

    Jamani pm zimejaa na nmna ya kufuta sijui embu nisaidieni wakuu!
  9. U

    Msaada kuhusu biashara ya phones, phone accessories na vifaa vya umeme

    Mkuu kuusu mtaji sijajua ila ni biashara inayolipa sana hususani eneo linalokuwa kimaendeleo karibu pm nikupe ushauri
  10. U

    Nakopesha bila riba

    Bora ungefunguka wazi taratibu zipoje mkuu,maana hata namba yenyewe haipatikani
  11. U

    Mamwimyi ni watu wa aina gani?

    Wakuu ukitoka bunju b kwenda bagamoyo hili neno (mamwinyi) si geni. nataka kujua hawa watu wapoje, na nini maana yake?
  12. U

    Maadili: ITV kama kawa, Lulu Full uchi

    haya sasa dogo kachukua mpunga, mpunga umeenda mtwara,,,,,,,,
  13. U

    Maadili: ITV kama kawa, Lulu Full uchi

    Hivi we unahisi nani anachukua mpunga? Halafu niwe muwazi binafsi hili lijaji la kiume mkono wa kushoto SILIPENDI!
  14. U

    Maadili: ITV kama kawa, Lulu Full uchi

    Hivi we unahisi nani anachukua mpunga?
  15. U

    Maadili: ITV kama kawa, Lulu Full uchi

    50 cent sauti ipo powa ila bonyeza audio alafu select left or rite! alafu aibu iliyoje kuna camera imedisplay betri low
Back
Top Bottom