Msaada kuhusu biashara ya phones, phone accessories na vifaa vya umeme

man of the year

JF-Expert Member
Jun 23, 2014
345
85
Nahitaji kuingia ktk biashara hii. Naomba ushauri jinsi ya kuanzisha.

I got 2 million wishing to start eletrical store equipment, i probably need guide and advice on how to manage this busness...thank you!

===========================================

Kutoka kwa @clemb07
upload_2017-10-31_14-48-48.png


Tengeneza list ya bidhaa,nenda kariakoo mitaa ya maduka ya electronics compare bei,pia kwa eneo unaloishi watafute mafundi umeme wakwambie bidhaa gani zinamove fasta.ila bidhaa za msingi ni bullbs wat 7,9,11,15,20,25,36,40,60,75,85 nunua bulbs aina ya Torch na tronic hizo ndio zinapendwa sana.weka na vitu kama tester,bed swirtch,extension cable,multplug,top lag,switch, switch socket,bulb holders,solution tape, screw drivers, cables za tv radio, nyaya za pasi,pasi,feni aina zote, tube lights na fitting zake,fridge na fb guard,socket breaker,wire aina zote , TV pin ,fuses etc..

Kwa kuanzia unahitaji

Twin wire 6mm
Twin wire 2.5mm
Twin wire 1.5mm
Flexible wire kubwa
Flexible wire ndogo
Earth wire 2.5
Earth wire 1.5
1g switch
2gang switch
3gang switch
Switch socket single
Switch socket double
Straight holder
Angle holder
Main switch
Circuit breaker
Condute blue
Condute nyeupe
Trunk kubwa
Trunk ndogo
Energy saver 11w, 18w, 40w, 75w
E/s za rangi
Elbow kubwa
Elbow ndogo
Surface box
Metal clips
Sedal clamp
S/tape

Na vingine hapa nimekumbuka hivi tu...

KARIKOO
N.B sio kila duka lna bei sawa ya hivi vitu kwingne n pungufu na kwngne n kubwa zaid

6mm euro 355,000/=
2.5 mm euro 155000/=
1.5 mm euro 108000/=
Flexible wire kubwa 24000/=
Earthwire 2.5 euro 56000/=
1gswtch rsuk 90000/=
2g switch rsuk 140000/=
Switch socket single tronic 10pcs 44000/=
Switch socket dauble tronic@5500==
Holder hippo,Liper,Volta @850/=
Main switch rsuk,klik,eurotrx 4way 17500@,
Main switch tronic 4way @55000/=
Circuit breaker @12000/=
Conduit pipe blue @600/=
Elbow ndogo @150\=
Surface box,junction,roundbox @350|=
Metalclps @300|=
Solution tape @550/=
 
Nahitaji kuingia ktk biashara hii. Naomba ushauri jinsi ya kuanzisha.

Tengeneza list ya bidhaa,nenda kariakoo mitaa ya maduka ya electronics compare bei,pia kwa eneo unaloishi watafute mafundi umeme wakwambie bidhaa gani zinamove fasta.ila bidhaa za msingi ni bullbs wat 7,9,11,15,20,25,36,40,60,75,85 nunua bulbs aina ya Torch na tronic hizo ndio zinapendwa sana.weka na vitu kama tester,bed swirtch,extension cable,multplug,top lag,switch, switch socket,bulb holders,solution tape, screw drivers, cables za tv radio, nyaya za pasi,pasi,feni aina zote, tube lights na fitting zake,fridge na fb guard,socket breaker,wire aina zote , TV pin ,fuses etc..
 
asante umetusaidia wengi kwani htaa mm nataka kufungua duka la vifaa vya umeme ngoja nilist vitu hivyo ulivyotaja be blessed mkuu

Tengeneza list ya bidhaa,nenda kariakoo mitaa ya maduka ya electronics compare bei,pia kwa eneo unaloishi watafute mafundi umeme wakwambie bidhaa gani zinamove fasta.ila bidhaa za msingi ni bullbs wat 7,9,11,15,20,25,36,40,60,75,85 nunua bulbs aina ya Torch na tronic hizo ndio zinapendwa sana.weka na vitu kama tester,bed swirtch,extension cable,multplug,top lag,switch, switch socket,bulb holders,solution tape, screw drivers, cables za tv radio, nyaya za pasi,pasi,feni aina zote, tube lights na fitting zake,fridge na fb guard,socket breaker,wire aina zote , TV pin ,fuses etc..
 
Tengeneza list ya bidhaa,nenda kariakoo mitaa ya maduka ya electronics compare bei,pia kwa eneo unaloishi watafute mafundi umeme wakwambie bidhaa gani zinamove fasta.ila bidhaa za msingi ni bullbs wat 7,9,11,15,20,25,36,40,60,75,85 nunua bulbs aina ya Torch na tronic hizo ndio zinapendwa sana.weka na vitu kama tester,bed swirtch,extension cable,multplug,top lag,switch, switch socket,bulb holders,solution tape, screw drivers, cables za tv radio, nyaya za pasi,pasi,feni aina zote, tube lights na fitting zake,fridge na fb guard,socket breaker,wire aina zote , TV pin ,fuses etc..

Mkuu inaonekana una uzoefu na hii shughuli.mimi nilikuwa naomba unisaidie kujua brand gani ya hivi vifaa vya umeme kutoka UK ambayo ni imara na sokoni inakubalika?
 
Igot 2 million wishing to start eletrical store equipment, i probably need guide and advice on how to manage this busness...thank you!


No insult pls!
 
Hongera mkuu kwa kuwa na wazo zuri ila hiyo budget naona bado ni changamoto. Nasema hivi kwa kuwa kufanya wiring kwa nyumba moja yenye room nne sebule vyoo na dining material yake ni zaidi ya 3m sasa akija mteja wa namna hiyo sijui utafanyaje.
 
Heshima kwenu wakuu, kama nilivyoandika kwa heading ningependa kupata muongozo wa biashara ya vifaa vinavyotumia umeme, hapa namaanisha mfano wa vifaa kama television, music system refrigerator na vinginevyo. Hapa ningependa kujua ni mtaji kiasi gani ninaweza kuanzia pamoja na changamoto zake. Natanguliza shukrani wadau
 
Mkuu ni biashara inayolipa sana, kikubwa ni kuweka ukaribu na uaminifu na wafanyabiashara unaonunua toka kwao ili kwamba kama kifaa kimeharibika inakuwa rahisi kurudisha . changamoto zilizopo ni kwa kuuziwa vifaa ambavyo baada ya mda mfupi havifanyi kazi, na watu wengi wanachagua brand wakati kuna brand nyingine ni nzuri kuzidi wanazochagua. Mtaji unaweza kuanza hata na milioni tatu, tatizo ni TRA huwa wanabana sana kama ukinunua kutoka nje ya nchi. ndio maana unakuta hapa nchini electronics items zinakuwa juu sana. karibu kwenye business.
 
Mkuu ni biashara inayolipa sana, kikubwa ni kuweka ukaribu na uaminifu na wafanyabiashara unaonunua toka kwao ili kwamba kama kifaa kimeharibika inakuwa rahisi kurudisha . changamoto zilizopo ni kwa kuuziwa vifaa ambavyo baada ya mda mfupi havifanyi kazi, na watu wengi wanachagua brand wakati kuna brand nyingine ni nzuri kuzidi wanazochagua. Mtaji unaweza kuanza hata na milioni tatu, tatizo ni TRA huwa wanabana sana kama ukinunua kutoka nje ya nchi. ndio maana unakuta hapa nchini electronics items zinakuwa juu sana. karibu kwenye business.

Nashukuru sana mkuu, ningependa kujua zaidi kuhusu mawakala wa brand za samsung, sony na nyinginezo naweza pata mzigo kwa bei poa hapa nchini?
 
Heshima kwenu wakuu, kama nilivyoandika kwa heading ningependa kupata muongozo wa biashara ya vifaa vinavyotumia umeme, hapa namaanisha mfano wa vifaa kama television, music system refrigerator na vinginevyo. Hapa ningependa kujua ni mtaji kiasi gani ninaweza kuanzia pamoja na changamoto zake. Natanguliza shukrani wadau

Kuhusu mtaji unaweza kuanza na million tano, sisi ni kampuni tuko China tunaweza kukutumia bidhaa za electronics zenye ubora mzuri.Kuna watu wanasema China kuna feki, ni kweli China kuna fake na bidhaa zenye ubora mzuri.Sisi hatutumi fake, maana tunahitaji ushirikiano wa muda mrefu na wewe kwahiyo hatuwezi kukutumia fake mkuu.China bidhaa ni bei nzuri, tatizo ni TRA kama mdau alivyosema.Na ukitaka kufanya biashara na upate faida, ni vizuri kuagiza bidhaa kutoka nje.

Kwa maongezi zaidi, tuma email to info@traderseasyway.com kwa kingereza au to komba@traderseasyway.com kwa kiswahili.

Tembelea website ya kampuni yetu, kuna maelezo yote juu ya kampuni yetu.

Traders Easy Way-We Supply According to your Budget - Traders Easy Way - Online Trading Website
 
Back
Top Bottom