Mkuu sio masihara nilimtembelea mzee wangu kazini kwake akaniambia december huu mwezi ndio anafungay ofisi yake mpaka nikamuonea huruma na kumpa mawazo mbadala.
Kuna maduka nimeyatembelea dah watu wanafunga na wafanyabiashara haswa wa kati na wa kawaida wapo kwenye wakati mgumu sana kila...
Wewe jamaa una matatizo sana kama hata ya nyegere kumla koboko unabisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] wallahi sirudii tena kusumbuka kuelewesha na kuandika
Halafu wajitia mjuaji wakati maisha ya nyoka na koboko huyajui [emoji23] [emoji23] upo empty
Kwa kukusaidia tu achana na nyegere...
Halafu kuna mtu anashinda mitandaoni haja experience anaanza kubisha na kuleta porojo
Na hizi porojo za koboko zimejaa sana mitandaoni ,hakuna aliyewahi kukimbizwa na koboko bora ulivyosaidia kumuelewesha jamaa
Nani wa Wikipedia kamleta kama sio huyo nwenzako mnaosapotiana kaleta source ya Wikipedia ndio nimemdadavulia .
Huwezi kunipa facts wakati tumeishi nao na kuwakamata ,..
Facts mnazotoa ni porojo tu hakuna fact yeyote niliyoona tangu jana
Umenipa source ya wikiedia nimepitia maelezo humu na machache umeotodhesha hapo juu.
Wikipedia kwenye tishio mamba anafungua mdomo wake na kutoa sauti na mamba ana uwezo wa kugonga kwa idadi kubwa kwa mafanikio..sumu yake ina neurotoxins nk nk...licha ya tabia yake ya kuwa aggressivr ,mamba...
Mkuu koboko hana sifa mnazompa hana
Tena koboko hapendi usumbufu ,bughudha
Koboko mbaya ni yule hujamuona ukapita karibu naye zero distance zaidi ya hapo koboko hana madhara
Huyo nyoka akimuona mtu anaanza kumkimbiza bado hajatokea duniani na bado hajazaliwa Hakuna nyoka mwenye stamala ya kumfuata mtu na kumkimbiza shujaa huyo nyoka bado hajatokea
Mamba akikuona unamfuata anasepa kabla hujamkaribia
Spitting cobra akikuona unamfuata anasimamisha shingo lake na...
1.Hakuna nyoka anayeweza kum-confront mtu ,nyoka woote wanawaogopa watu kuliko watu wanavyowaogopa nyoka
2.Hakuna nyoka anayekimbiza watu huyo nyoka hayupo duniani ,Mamba ni muoga ukimfuata alipo unamuona anaondoka zake hata ukimkaribia utaona anatafuta njia ya kusepa ukimziba kulia atafungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.