Recent content by Umoja 1

  1. Umoja 1

    Nani alikwenda shule kuchukua cheti chake akakuta amewekewa Deni ambalo halifahamu?

    Pugu sekondari hapo nilienda kwa mtaaluma akaleta tamaa oohhh unadaiwa sijui 80k ......nikaachana nae nikapanda kwa second master ambako ndiko vyeti vinatoka kule nikatoa 15k shughuli picha likaishia hapo nakipewa chet changu easy nashuka chini nakutana na yule madam wa taaluma ananitolea mimacho.
  2. Umoja 1

    Watu wanaolalamikia internet kufosi Starlink mbona Voda, airtel wana unlimited nzuri kwa 120,000 tu kwa mwezi

    Kasi ya starlink ni kubwa inasukuma mpaka mbs500 kwa sekunde wakati voda mbs 150 tu kwa sekunde ni mtihani pia inapatikana mazingira yoyote.
  3. Umoja 1

    Billinass atakua amepiga mkwara picha ya Alikiba na Nandy

    Wabongo bhna kazi umbea tu ....kwa akili zako zote unahisi wewe na nenga hizo picha mmeziona kwa wakati mmoja au aliziona kabla yako???
  4. Umoja 1

    Wanaume kulala chumba kimoja na uwezekano wa kupitiwa na shetani

    Umepotea njia Sifiiri mashoga mimi.
  5. Umoja 1

    Huu umeme wamekata nchi nzima?

    Dodoma hapa udom wamepita nao saa 3 asubuhi.
  6. Umoja 1

    Amuua mkewe mjamzito wa mapacha kisha ampasua tumbo na kutoa pacha mmoja na kumla

    Huyu kiboko amemshinda hadi nguruwe.....kweli pesa mwanaharam
  7. Umoja 1

    Vijana mnakwama wapi? Kuna kijana nilimuunganisha ajira hata asante hajanipa anataka nimtafutie ajira sehemu nyingine sasa

    Huyu kijana kafeli sana vyovyote vile shukrani kwa mtu aliyekutoa juu ya mawe ni lazima na ndio ustaarabu. Aisee mie shida yangu nadaiwa direct cost Tsh 243,750 nipo udom hapa semister inaenda kukata sielewi na sijakamilisha usajili noma.... Control number 994461469086
  8. Umoja 1

    Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

    Nafarijika kuona mpka sasa dakika ya 20 ya mchezo kataa ndoa wanaongoza 3:0 kwa hoja zilizoshiba......
  9. Umoja 1

    Wanaume kulala chumba kimoja na uwezekano wa kupitiwa na shetani

    Nina miaka 27 robo tatu ya umri wangu nimelala gheto na masela yahn sijawah kuwaza huo useng.e wala wadau wangu kuwaza huo useng.e wako....wewe ni shoga
  10. Umoja 1

    Kataa Ndoa School of Thought, ni upi mtazamo wenu juu ya Masuala haya?

    Tukio lake la kuli na kusaga meno lipo njian linakuja.
  11. Umoja 1

    Imekuaje “Mulokozi” akajenga hekalu lake Manyara?

    Nyumba simple ila nakshi zake na urembo ni shidaa.
Back
Top Bottom