Mm namshauri asome diploma ya nurse and midwife ni marketable sana tofauti na clinical medicine,kwa matokeo hayo mbona atatoboa tu,maana tabibu kukaa reginal or district hospitals ni mbinde sana ,AMO na MO na specialist wamekaba nafasi take ,ila manes kila sehemu wamejaa, //// tabibu 2 manes...
Hizo ni thiolojia za wadamu tu uwe askofu ,padri, kadinar,Pope, au nani kama ni mlevi sehemu yao ni JEHANNNAM ya moto waspo tubia dhambi hii na kuokoka ,kama kunywa kidogo in kweli basi hata matusi,uzinz,uasharati ,etc
Tufanye kidogo? Ujue basi hakuna cha dhambi kidogo utakatifu sana ,acha...
Naomba kujua mshahara wa afisa ustawi was jamii diploma level na changamoto pia hata fursa zilizopo kwenye kada hii kwa sasa ni medical attendant kwa mwenye uelewa naomba msaada wa mawazo maana nataka kuhamia huko
Watumishi kwl tumekandamizwa sana,stahiki zetu hatupewi ujue kama was degree anatake home 200k basi ujue hali mbaya zaidi kwa certificate na diploma kwl serikali jaman tusikieni au mnataka tuandamane kama Kenya ndio mtusikie? Haya nimatumizi mabaya ya rasmali watu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.