Leo ni siku ya tatu, tangu mwanangu aanze kuharisha. Sijajua sababu ni nini.
Kabla sijampeleka hospitali, naombeni msaada wenu wa mawazo. Kwa maana umbali hadi hospitali ni maiili nyingi mno, na nipo shamba.
Je, hii ni hali ya kawaida kwamba ni mabadiliko ya ukuaji au ugonjwa?
Sent using...
Samahani mkuu, sasa hapa hawa wawili uliowataja, walikuwa wapinzani kivipi? Kamba walikuwa wanapinga hizo kura tatu, au walikuwa wanaziunga mkono?
[emoji116]
"Wapinzani wakuu wa Kura Tatu walikuwa Sheikh Suleiman Takadiri Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU na Zuberi Mtemvu"
Tafadhari, kama kichwa kinavyosema.
Nina kitabulisho cha taifa nilijiandikishia Dar ila kwa sasa nipo mkoani. Lakini nilipochukua niliangalia picha na majina juu juu na kuweka sahihi na kuondoka kwa sababu ya kuchoka kufuatilia na foleni. Lakini baadae nikagundua kwamba kuna herufi imekosewa...
Hizo dalili za kidoletumbo au appendix. Ni vema ukawahi hospitali kabla ya hicho kifuko hakijapasuka na kusambaza bacteria. Nenda kwanza hospitali ili wakachunguze kama ni yenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.