Maandamano yafanyika Indonesia kupinga sheria mpya inayodhibiti ngono kabla ya ndoa

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Polisi wamefyatua gesi za kutoa machozi na maji kwenye makundi ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana nje ya bunge la Indonesia juu ya mapendekezo ya sheria mpya ya uhalifu itakayozuwia tendo la ngono kabla ya ndoa.

Maandamano dhidi ya mswada huo pia yalifanyika katika miji mingine nchini humo.
Mswada huo pia unaharamisha kisheria aina nyingi za utoaji mimba na kumtusi rais itakuwa ni kinyume cha sheria.

Mswada huo umekuwa ukicheleweshwa, lakini waandamanaji wanahofu kuwa inaweza hatimae kupitishwa na bunge.

Pendekezo la sheria mpya ya uhalifu inajumuisha yafuatayo;

  • Ngono kabla ya ndoa litakuwa ni kosa la jinai na mhusika anaweza kufungwa mwaka mmoja jela
  • Kuishi pamoja nje ya ndoa inaweza kukusababishia kifungo cha miaka sita jela
  • Kumtukana rais, Makamu wa rais , kiongozi wa kidini, taasisi za serikali na nembo kama vile bendera na wimbo wa taifa itakuwa ni ukiukaji wa sheria
  • Iwapo mtu atatoa mimba atafungwa kifungo cha miaka minne jela iwapo hakutakuwa na sababu za kimatibabu au ubakaji
Awali muswada huo ulipangiwa kupigiwa kura Jumanne- lakini rais Joko Widodo aliahirisha kura hadi Ijumaa, akisema kuwa sheria hiyo mpya inahitaji kuchunguzwa zaidi

Licha ya kucheleweshwa kwa kura hiyo, Waindonesia wengi wanahofia kwamba muswada huo unaweza kupitishwa na bunge na hivyo kuwazuwia ''haki zao''.

Aidha wanahasira juu ya kupitishwa kwa sheria mpya inayodhoofisha mamlaka ya tume ya kupambana na ufisadi , ambayo ni muhimu katika juhudi za kumaliza rushwa.
 
Hii ikimfikia mdau wa surprise , tuombe asiuone huu uzi au tuombe moderator a-delete? Jiandaeni kisaikolojia
 
Indonesia kuna witoto vinapenda ngono balaa!! Na smartphone zimewazuzua wanajirecodi uchi balaa
 
Polisi wamefyatua gesi za kutoa machozi na maji kwenye makundi ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana nje ya bunge la Indonesia juu ya mapendekezo ya sheria mpya ya uhalifu itakayozuwia tendo la ngono kabla ya ndoa.

Maandamano dhidi ya mswada huo pia yalifanyika katika miji mingine nchini humo.
Mswada huo pia unaharamisha kisheria aina nyingi za utoaji mimba na kumtusi rais itakuwa ni kinyume cha sheria.

Mswada huo umekuwa ukicheleweshwa, lakini waandamanaji wanahofu kuwa inaweza hatimae kupitishwa na bunge.

Pendekezo la sheria mpya ya uhalifu inajumuisha yafuatayo;

  • Ngono kabla ya ndoa litakuwa ni kosa la jinai na mhusika anaweza kufungwa mwaka mmoja jela
  • Kuishi pamoja nje ya ndoa inaweza kukusababishia kifungo cha miaka sita jela
  • Kumtukana rais, Makamu wa rais , kiongozi wa kidini, taasisi za serikali na nembo kama vile bendera na wimbo wa taifa itakuwa ni ukiukaji wa sheria
  • Iwapo mtu atatoa mimba atafungwa kifungo cha miaka minne jela iwapo hakutakuwa na sababu za kimatibabu au ubakaji
Awali muswada huo ulipangiwa kupigiwa kura Jumanne- lakini rais Joko Widodo aliahirisha kura hadi Ijumaa, akisema kuwa sheria hiyo mpya inahitaji kuchunguzwa zaidi

Licha ya kucheleweshwa kwa kura hiyo, Waindonesia wengi wanahofia kwamba muswada huo unaweza kupitishwa na bunge na hivyo kuwazuwia ''haki zao''.

Aidha wanahasira juu ya kupitishwa kwa sheria mpya inayodhoofisha mamlaka ya tume ya kupambana na ufisadi , ambayo ni muhimu katika juhudi za kumaliza rushwa.
Hahaha hii ni kali
 
Km una mtoto wa kike au dada ambaye anachezewa kila siku utaona umuhimu wa kuwa na sheria hii.
Hakuna kuchezewa hapo! Wakati dada yako anasikilizia utamu na kuona ndo starehe muruwa wewe unakazana eti anachezewa!
Ajabu wanailalamika kuchezewa sio wahusika wakati wahusika wenyewe wako tayari hata kutoroka usiku au kokosana na wazazi kabisa ili wale hilo tunda
 
Polisi wamefyatua gesi za kutoa machozi na maji kwenye makundi ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana nje ya bunge la Indonesia juu ya mapendekezo ya sheria mpya ya uhalifu itakayozuwia tendo la ngono kabla ya ndoa.

Maandamano dhidi ya mswada huo pia yalifanyika katika miji mingine nchini humo.
Mswada huo pia unaharamisha kisheria aina nyingi za utoaji mimba na kumtusi rais itakuwa ni kinyume cha sheria.

Mswada huo umekuwa ukicheleweshwa, lakini waandamanaji wanahofu kuwa inaweza hatimae kupitishwa na bunge.

Pendekezo la sheria mpya ya uhalifu inajumuisha yafuatayo;

  • Ngono kabla ya ndoa litakuwa ni kosa la jinai na mhusika anaweza kufungwa mwaka mmoja jela
  • Kuishi pamoja nje ya ndoa inaweza kukusababishia kifungo cha miaka sita jela
  • Kumtukana rais, Makamu wa rais , kiongozi wa kidini, taasisi za serikali na nembo kama vile bendera na wimbo wa taifa itakuwa ni ukiukaji wa sheria
  • Iwapo mtu atatoa mimba atafungwa kifungo cha miaka minne jela iwapo hakutakuwa na sababu za kimatibabu au ubakaji
Awali muswada huo ulipangiwa kupigiwa kura Jumanne- lakini rais Joko Widodo aliahirisha kura hadi Ijumaa, akisema kuwa sheria hiyo mpya inahitaji kuchunguzwa zaidi

Licha ya kucheleweshwa kwa kura hiyo, Waindonesia wengi wanahofia kwamba muswada huo unaweza kupitishwa na bunge na hivyo kuwazuwia ''haki zao''.

Aidha wanahasira juu ya kupitishwa kwa sheria mpya inayodhoofisha mamlaka ya tume ya kupambana na ufisadi , ambayo ni muhimu katika juhudi za kumaliza rushwa.
Hizi sasa ndo sheria
 
Tatizo lililopo Indonesia ni uwepo WA Serikali iliyofungamana NA imani Kali sana na sheria kali sana za kidini.Hili ni tatizo.

Yapo maandiko kwenye vtabu vya imani zetu za dini tulizonazo, hayako applicable ktk dunia hii ya Leo.
Mathalani, huwezi kutoa adhabu ya kukata mikono KWA Watu wanaotuhumiwa kwa kosa la wizi.
Vile vile, huwezi kutoa adhabu ya kupigwa mawe hadi kufa KWA Watu walioshikwa ugoni.

Sheria zinazotoa adhabu za namna hii zikitungwa mahali popote pale hapa duniani, ni lazima zipingwe KWA nguvu zote kabisa.

In short, "IF INJUSTICE BECOMES A LAW, RESISTANCE BECOMES A DUTY"
 
Serikali ina mambo mengi sana ya kushughulikia kuliko kuingilia uhuru wa watu na mambo private. Serikali zingine ni bure sana.
 
Serikali ina mambo mengi sana ya kushughulikia kuliko kuingilia uhuru wa watu na mambo private. Serikali zingine ni bure sana.
Wewe unataka uhuru wa vijana kuchapana nje ya ndoa?
Hao wanatakiwa kubanwa tuu. "Zinaa haikubaliki"
 
Back
Top Bottom