Recent content by Ubora

  1. U

    Mkutano wa Rais Magufuli Kahama: James Lembeli aungana naye. Je, kurejea CCM?

    Tulimkanya sana Mbowe na Saccos yake lkni hakutuelewa, wote watarudi tu.
  2. U

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.
  3. U

    Rais Magufuli akutana na Bulembo, Mufti mkuu na CAG Ikulu

    Safi sana mufti wetu kwa kuitambua CCM, Mufti wetu anaiwakilisha taasis vizuri
  4. U

    Juma Duni Haji ajiengua Rasmi CHADEMA

    Babu hana jipya zaidi ya kulalamika, hayo ndo matokeo ya tamaa.
  5. U

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Magufuli atosha tu nchi hii.
  6. U

    Hatimaye John Stanley,Aibuka Kidedea Urais wa Tahliso

    Hatimaye John Stanley ambaye ni mwanafunzi wa Masomo ya Uongozi, chuo kikuu cha Usafirishaji, Jana ameibuka kidedea kwa kupata ushindi mnono katika uchaguzi wa shirikisho hilo uliofanyikia Chuo Cha Saut Mwanza. Zaidi ya Vyuo hamsini vilishiriki katika uchaguzi huo ulishirikisha vyuo vyote vikuu...
  7. U

    Shujaaa mpya wa TAHLISO ni Francis Ndunguru

    Nidhamu yake Mbovu ndio sababu alifukuzwa chuo
  8. U

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Tupo nae pamoja sana rais wetu
  9. U

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Tunataka azidi kutumbua majipu
  10. U

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Huyu rais jaman yupo vizur sana
  11. U

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Hata mimi nakubaliana na hayo mawazo.
  12. U

    Hatimaye CHADEMA watambua rasmi ushindi wa Magufuli

    Watanyoka tuu, na spidi iliyopo kunauwezekano wakatumbuliwa majipu zaidi hususani wamiliki wa saccos
  13. U

    Hatimaye CHADEMA watambua rasmi ushindi wa Magufuli

    Ngoja tusubili waendelee na malalamiko yao
  14. U

    Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

    Kuwa mzalendo na zingatia kauli za viongozi wako wa chama, fanya kazi upate mafanikio kimaisha na si vinginevyo.
Back
Top Bottom