Juma Duni Haji ajiengua Rasmi CHADEMA

Juma Duni Haji ajiengua Rasmi CHADEMA

Babu hana jipya zaidi ya kulalamika, hayo ndo matokeo ya tamaa.
 
ngumu kumeza hizi porojo zake. kwanza siamini kama kweli alishinikiza kupewa mil 550 wakati lengo lao hasa wa zenji ilikuwa ni kuongeza nguvu ya upinzani ndo maana walikuwa hata tayari kumpoteza Prof. Lipumba na kuungana na Lowassa ili kuihenyesha CCM. huwa naziamini habari zako ila hii umechemka.
Kwa Zanzibar wao wako vizuri na wala hawana shida ya kuongeza nguvu na hiyo 350 ni ni sahihi si chair man alichukua 12 b sasa hiyo 350 ingeshindikanaje
 
hahahahahahah....huu sasa upuuzi...sisi CUF na CHADEMA tulikuwa tunajua kuwa tuko na Duni temporarily KWA sababu ya Katiba mbovu ya Tanzania inayokataza coallition ya poitical parties....

Kweli sana mkuu. kuna watu bado wana mawazo ya kizamaani na hasa bado wanayang'a ng'aniza hado leo wakati tuaganga yajayo. Nadhani nia yao ni kujaribu kuudhoofisha upinzani ndani ya hii nchi ila ukweli ni kwamba hawataweza hata wakizikiri uchi. Wapinzani bado tuna nguvu ya kutosha na hasa wasubiri bungeli likianza, kama tuliwapeleka puta tukiwa wachache kwenye bunge la 10 itakuwaje kwenye hilil???????????????????????????????????????????????? Ni mtazamo tu ila big up sana baba Lowassa kwa kutuwezesha hivi mkuu wangu wa ikaya/
 
Huyu jamaa huwa hasinzii kwa ajili ya CHADEMA

We We WE !!!!!!!!!!!!!!! Eti kwa nini asinzie wakati CDM Chama kubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mungu ibariki CDM, Mungi mmbariki sana mkuu wetu Lowassa. Hivi mbona hamsemi amina??????????????? Makamanda mko wapi jamani?????????????????
 
Ukweli haufichiki, kimya hiki kuna mengi yakujiuliza ila acha muda ushike hatamu iko siku ukweli utawekwa na yeye mwenyewe
Hayo ndo maneno ya msingi mkuu na si poprojo za wanaoporojoa kijinga bila matiki utdhani wamekunywa urojo
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Hizi ni taarifa za uhakika nilizopata kutoka kwa chanzo muhimu kilicho jirani na Mwanasiasa Mkongwe, Juma Duni Haji ambaye aliamua kujivua uanachama wake wa CUF na kujiunga na CHADEMA kutokana na tamaa ya kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Babu Duni baada ya kujiunga na CHADEMA aliteuliwa kuwa Mgombea Mwenza akisaidiana na Edward Lowasa katika kampeni za kuelekea Magogoni.

Baada ya uchaguzi Mkuu ambapo CCM kupitia Mgombea Urais wake John Pombe Magufuli ilishinda uchaguzi huo huku ikinyakua viti vya kutosha kwa upande wa Wabunge na Udiwani. Matokeo hayo yalimuondoa Babu Duni kwenye siasa za Tanzania. Tangu wakati huo, hajasikika akikubali ushindi ama kukataa. Kitendo hicho cha kukaa kimya kimetafsiriwa kwa hisia tofauti. Wapo wanaodai kuwa Juma Duni amerejea CUF huku wengine wakimnukuu akisema kuwa atatoa hatma yake kisiasa ifikapo Januari Mwakani.

Kamera yangu ilizama Zanzibar ili kufuatilia nyenendo za mwanasiasa huyo na kutaka kujua juu ya ukimya wake. Kwa hakika niliyoyakuta ni hatareeeeee! Kwa kifupi Juma Duni Haji hayupo CHADEMA. Kamera yangu imenyaka sababu za mwanasiasa huyo kujiengua CHADEMA.

1. Kutolipwa madai yake ya shilingi milioni 200. Kama mnavyofahamu kuwa Juma Duni Haji aliahidiwa kitita cha shilingi milioni 550 ikiwa ataondoka CUF na kujiunga na CHADEMA. Baada tu ya kujiunga, Babu Duni alipata milioni 50 na aliahidiwa kiasi kingine angepewa kabla ya kampeni kumalizika. Mwezi mmoja baada ya kampeni, Babu Duni akaanzisha mgomo kwa lengo la kushinikiza alipwe kiasi anachodai ambacho ni milioni 500. Akaacha kushiriki mikutano ya kampeni. CHADEMA kupitia mgombea wao wa Urais wakaona jahazi linazama. Wakazama mfukoni na kumpa milioni 300 fedha ambazo zilitolewa na mmoja wa wafanyabiashara waliokuwa wanaunga mkono UKAWA. Kiasi cha shilingi milioni 200 zilizobaki walimuahidi kumlipa wiki moja kabla ya uchaguzi. Hata hivyo, mpaka sasa, Babu Duni hajalipwa fedha hizo na ndo maana ameamua kujiondoa CHADEMA.

2. Kukatika kwa mawasiliano na viongozi waandamizi wa CHADEMA na UKAWA. Babu Duni amesikika akilalamika kuwa hajapigiwa simu ama kuwa na mawaziliano ya ana kwa ana na viongozi waandamizi wa chama chake cha CHADEMA na UKAWA licha ya jitihada ambazo amekuwa akizifanya. Kwamba, kila anapowasiliana na viongozi wenzake, wanamjibu kuwa watampigia lakini wamekuwa hawafanyi hivyo. Anamshangaa hata Lowasa kwa kitendo chake cha kukaa kimya ilhali waliongea mengi na walipanga mikakati mingi ya maisha baada ya uchaguzi lakini hakuna kinachoendelea.

3. Vijembe na kejeli kutoka kwa makada wa CUF. Babu duni amesikika akilalama kuwa anapewa vijembe na viongozi na wafuasi wa CUF kwa kitendo chake cha kukisaliti chama hicho na kujiunga na CHADEMA. Anasema kuwa CUF inamuona kama ni msaliti na kwamba uamuzi wa yeye kwenda CHADEMA ulifanywa na Maalim Seif Sharif Hamad pekee.

Kutokana na sababu hizi na nyingine nyingi, Babu Duni anasema kuwa haoni umuhimu wa kuendelea kubaki CHADEMA. Anasema kwa sasa anaendelea kutafakari na soon atatoa hatma yake kisiasa. Anasema kuwa kuna mambo mawili anayatafakari. Ama kurejea CUF na kuendelea maisha ya kisiasa ama kustaafu siasa. Tusubiri tuone.

Nawasilisha

You are a poor thinker., kwani shida ipo wapi? ivi hujifunzi Uchguzi uliopita umoja wa Ukawa ulivyoiangamiza ccm kuliko mazoea yao ya chama chako ccm kushinda uchaguzi asilimia hadi 80% na saivi kushuka hadi 58%??., shame upon you 2020

Ayo mengine uliyosema JK anasema ni siasa za maji taka ata mda wa kuzijadili sina.
 
Katiba hapa unaisingizia tu viongozi wako wenyewe hawataki coalition ya political parties, CHADEMA< CUF ni majina tu kama kweli wote wako wamoja wanashindwa nini kuhamia upande wa pili, Jembe liiteni jembe jamani.
wewe lazima utakuwa mjinga wa kwanza duniani

Unaelewa maana ya Coallition?
 
You are a poor thinker., kwani shida ipo wapi? ivi hujifunzi Uchguzi uliopita umoja wa Ukawa ulivyoiangamiza ccm kuliko mazoea yao ya chama chako ccm kushinda uchaguzi asilimia hadi 80% na saivi kushuka hadi 58%??., shame upon you 2020

Ayo mengine uliyosema JK anasema ni siasa za maji taka ata mda wa kuzijadili sina.

Mkuu mimi nakuhakikishia asilimia 500% CCM hawachomoki 2020..
 
Kwa hiyo mlitaka mpewe nchi temporarily pia?? Daaaa viroba noma sana kwa kweli

Baada ya kuingia tungeleta katiba mpya ambayo ndio msingi wa kila kitu iiwemo coalition ya Political parties

Usiwe unafikiria kama uko kwenye sinki la choo
 
Kani kuna sheria inayoruhusu wanasiasa kuchukuliwa kwa njia ya mkopo?
Kwani kuna sharia inayokataza wanasiasa kuchukuliwa kwa njia ya mkopo?

Wewe demu acha kuongea kama uko kwenye siku maalum
 
Kakaa kimya muda mrefu tetesi hizi huenda zina ukweli
 
hahahahahahah....huu sasa upuuzi...sisi CUF na CHADEMA tulikuwa tunajua kuwa tuko na Duni temporarily KWA sababu ya Katiba mbovu ya Tanzania inayokataza coallition ya poitical parties....
Hawa ni waandishi wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo ni hatari tupu.

Wanaweza jifungia vyumbani mwao kuandika chochote juu ya upinzani hususani vyama vya coalition ya UKAWA na zaidi sana CUF na CHADEMA!
 
You are a poor thinker., kwani shida ipo wapi? ivi hujifunzi Uchguzi uliopita umoja wa Ukawa ulivyoiangamiza ccm kuliko mazoea yao ya chama chako ccm kushinda uchaguzi asilimia hadi 80% na saivi kushuka hadi 58%??., shame upon you 2020

Ayo mengine uliyosema JK anasema ni siasa za maji taka ata mda wa kuzijadili sina.
Wewe ni mdogo sana. Hujui nini kinaendelea
 
Babu Duni ameisaidia sana CUF ...kupata wabunge 10 Bara sio jambo dogo ......haitakuwa halali kwa wanna CUF Kama hawatatambua mchango wake ....alichofanya kinaitwa strategic Allience yaani ushirika kwa lengo fulani .....kazi ikiiisha kila mmoja anaendelea na msimamo wake ...
 
Lizaboni mi saa zingine unanifanya nikudharau we jamaa,mi ni mwanachadema pure na nakubaliana na wewe kwamba tulikosea kumpokea lowasa,na hizo habari za milion 500 siwezi kuzikataa kwa sababu lowasa kakaa kidilidili tu,ila nakudharau kwa sababu naamini unajua maana ya ukawa,sasa porojo za nini?
 
Back
Top Bottom