Hatimaye CHADEMA watambua rasmi ushindi wa Magufuli

mafundisho

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
388
136
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia viongozi wake wamezidi kuudhihirishia umma wa Watanzania kuwa wanamtambua Rais Magufuli na wamezidi kupereka kero zao na malalamiko yao kwa Serikali ya Rais Magufuli.

Kweli Demokrasia inazidi kupanuka, kama hawa ndio walikuwa wakwanza kupinga matokeo, leo hii ndio vinara wa kulalamikia Serikali ya CCM,wasomi na wafuatiliaji wa maswala ya kisiasa wanazidi kupata mashaka na misimamo ya CHADEMA.
 
Kwani kuna mahali walionyesha kutomtambua Rais? Au wenyewe walikuwa hawakubaliani na utaratibu na uhuni kwa maana ya process uliyofanywa na NEC....
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kupitia viongozi wake wamezidi kuudhihirishia umma wa Watanzania kuwa wanamtambua Rais Magufuli na wamezidi kupereka kero zao na malalamiko yao kwa Serikali ya Rais Magufuli.

Kweli Demokrasia inazidi kupanuka, kama hawa ndio walikuwa wakwanza kupinga matokeo, leo hii ndio vinara wa kulalamikia Serikali ya CCM,wasomi na wafuatiliaji wa maswala ya kisiasa wanazidi kupata mashaka na misimamo ya Chadema.
Kwa kiwango fulani wewe ni shabiki wa kisiasa ambaye hujui kuwa hata kama dictator ameshika ufunguo wa mlango nita mwambia afungue tupite
 
Walitishia Ili Waandaliwe Juice Ikulu Kama Enzi Zile Hawakujua Kitengo Cha Lishe Kimefutwa
Duh kwa hiyo siku hizi ukialikwa Ikulu hupati sharubati? Kumbe ndio maana sijamuoa Maalim aliwa ameshika glass.

Kwani kuna mahali walionyesha kutomtambua Rais? Au wenyewe walikuwa hawakubaliani na utaratibu na uhuni kwa maana ya process uliyofanywa na NEC....

Mkuu, nadhani mzee ndiye hakutambua lakini wengine walitambua matokeo. Hivi usipotambua matokeo utapataje ruzuku ambayo inatokana na matokeo hayo? Watu wameongeza ruzuku halafu useme hawatambui matokeo, yeeeesu watakuondoa.
 
Unasikia hadi mzee wao aliyegombea nae anatafuta mwaliko wa kwenda Ikulu.

Hajui kuwa tinga tinga halina taim ya kuwaalika wapuuzi kwenye mjengo?sio wakati wa kuitwa ikulu ataisikia kwenye redio tu.
 
Mnaazisha Uzi/mada
Mnajitekenya wenyewe na Kucheka wenyewe !!!

Hivi weewe Ukiondoa wizi wa kura huku Bara

Halafu Ufute/na kurudia
Uchaguzi Zanzibar Magufuli atakuwaje Halali ?
Mwizi utamjua tu anajihisi mwenyewe !!
 
Mwanaccm makini anapaswa kusikitika uhuni unao endelea kufanywa kuhusu umeya.Nadhani ni ajabu nakweli mtu akishinda mawakala wakakubaliana hata mgombea aliyeshindwa akakiri kushindwa halafu mkurugenzi ana mtangaza mwingine.Yaani tatizo kutangaza! Nchi haiwezi kuendelea namna hii
 
Mwanaccm makini anapaswa kusikitika uhuni unao endelea kufanywa kuhusu umeya.Nadhani ni ajabu nakweli mtu akishinda mawakala wakakubaliana hata mgombea aliyeshindwa akakiri kushindwa halafu mkurugenzi ana mtangaza mwingine.Yaani tatizo kutangaza! Nchi haiwezi kuendelea namna hii

Mada haihusiani na ulichoandika hapo.Wakuu wako wakubaliana na Uongozi wa Rais wewe unabakia kutoa mapovu.
 
Kwa hiyo ccm wanatafuta njia hasi na chanya kuingia ikulu ili wakanywe juice? Ndio maana itatuchukua muda mrefu sana kujikomboa kifikra KAMA MAWAZO YENYEWE NI JUICE TU. Yaani juice ndo muhimu sana kuliko namba mnayoisomA?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kupitia viongozi wake wamezidi kuudhihirishia umma wa Watanzania kuwa wanamtambua Rais Magufuli na wamezidi kupereka kero zao na malalamiko yao kwa Serikali ya Rais Magufuli.

Kweli Demokrasia inazidi kupanuka, kama hawa ndio walikuwa wakwanza kupinga matokeo, leo hii ndio vinara wa kulalamikia Serikali ya CCM,wasomi na wafuatiliaji wa maswala ya kisiasa wanazidi kupata mashaka na misimamo ya Chadema.

Hata wewe mafundisho jambazi akivamia kwako na kuiteka nyumba yako utamsujudia tu hadi pale utakapopata upenyo au akikuacha salama ndio utakohoa tena, sasa cha ajabu nini hapo?
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine hawa Chadema wanafurahisha sana wanavuta ruzuku halafu wanasema hawamtambui rais.
 
Kitendo tu cha kushiriki uchaguzi wa kumchagua mteule wa rais bungeni MP ni ishara tosha kwamba wanamtambua
 
Back
Top Bottom