Recent content by tzn kwanza

  1. T

    Mgomo wa wafanyakazi wanukia makao makuu ya CHADEMA

    Ww ka unahoja kaa kimya mbona waccm mnapenda kubadilisha uongo kuwa ukweli, kwelii laana ya uongo inawasumbua poleeni xanaa
  2. T

    Viongozi wa CHADEMA walikwepa mazishi ya mjumbe wa kamati kuu (mamake zitto)

    Jaman mbona wanaccm mmeishiwa hoja hivi kweli swala la msiba ni la kuleta hapa jf kwelii mcba cyo siasa jaman ebu tufikiri mambo ya kureta hapa
  3. T

    Mnyika is the brightest MP in Tanzania

    Huyo anayesema mnyika alikimbia ud ebu yy aweke matokeo yke ya shule o'level& a level tumuone labda niwape hii itawasaidia vichwa maji wa ccm kuwa tunaposema mtu Fulani kasoma aimanishi kupita madarasa mengi au kusoma vitabu vingi but elimu ni kileulichobaki nacho kichwani baada ya kusoma ko...
  4. T

    Ridhiwani Kikwete achemka bungeni jioni leo

    God&riz watulie kama yaliwazhinda baba zao kuleta umeme wataweza wao vitoto vingine bwana
  5. T

    Hivi kwanini Mh. Lukuvi ana dharau na kiburi sana?

    Ndivyo walivyo mcwashangae xana
  6. T

    Kashifa nzito yamkumba Slaa huko Geita

    Nahisi ww jamaa unatatizo la kutumia ------ yko kufikiri na ------ wako kama masikio na kichwa unakitumia kufugia nywele tu,itakuwa umeckia maccm menzako huko makina kinena na mropokaji mwingine yule ukazani ni dk slaa tunayemjua cc umechelewa labda kamdanganye mke wako ulete mwingi ne kama...
  7. T

    Nape alaaniwe kwa kutuita Boko Haram

    Sasa jaman ivi na nape mnataka tutumie muda wetu kumjadili uyo kibaka wa ccm
  8. T

    Wanaojiita wazalendo wampinga tena mama Maria Nyerere

    Ni bora viongozi wa ccm wangepotea na ndege ya Malaysia
  9. T

    Ni ajabu na kweli; Katibu Mkuu wa CCM, Kinana anafanya kazi ya upinzani!

    Watu kama akina kinana nape uwezo wao wa kufikiri ni mb moja ko atushangai xana
  10. T

    Chama Cha Upinzani BJP chashinda Uchaguzi India

    Maccm chukua tahadhari mcje kufa kibudu
Back
Top Bottom