Mimi nakubaliana na Nape kuwa hao jamaa hawana tofauti na Boko Haram,ingawaje siwaungi mkono CCm lakini nashangazwa na wanasiasa wa Tz walivyo malofa wa akili,wote tu hao ukawa na ccm ni majitu ya hovyo tu. Nilikuwa naangalia ITV siku za karibuni,Pro. Lipumba anatembea na kibabu kimoja chenye balaghashia ambacho kwa mujibu wa ITV wanamuandika muwakilishi kutoka Taasisi ya Kiislam. jambo la kushangaza Taasisi hiyo haina jina maana taasisi za Kiislam zipo nyingi tu na kila moja ina jina lake,sasa huyo BOKO HARAM anayetembea na hao jamaa wa UKAWA anatoka taasisi gani,hao ndio wachumia tumbo katika siasa za Tz,mtu kama huyo babu anatumika kuonekana kama vile taasisi za Kiislam zinawaunga mkono,kila taasisi iliishatoa maoni yake hicho kibabu cha BOKO HARAM hakijitambui. Jambo lingine nimemsikia Profesa eti akisema wanataka katiba ya meno ya kungata,jambo hili linashangaza,je Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na kina Warioba haina meno? maana mpaka sasa ni sehemu moja tu imejadiliwa nayo ni kuhusu Muungano,na hapa ndipo wanasiasa walipopata mwanya wa kutimiza malengo yao ya kuihujumu rasimu,nasema wote tu hata hao UKAWA hawakufurahia hiyo rasimu kwani ilipunguza sana utawala wa kiimla kwenye vyama vya siasa na ikwawaweka wananchi na wanachama huru ndani ya vyama vya siasa. hata sasa wanasiasa wote tu wanapita kwa wananchi kupiga blabla baada ya kulikimbia bunge la katiba,huko mlitakiwa muende mwisho wa siku kwani wananchi ndio watasema YES/NO. nakubaliana kabisa na Nape hao ni BOKO HARAM