masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 869
Ujumbe wako kwa ccm ni sawa na kumpigia mbuzi gita,wao wanaamini nchi hii ni yao na hati miliki wameifungia magogoni japo wana-renew kila baada ya miaka 10
Kama kweli upinzani umeshinda India hii ni sababu tu ya muamko wa raia pamoja na kuzijua haki zao za msingi na wajibu wao wa kuiadabisha mamlaka yao kwa mujibu wa katiba yao kupitia sanduku la Kura
Hapa kwetu ccm haitaki ww raia ujue haki zako za msingi ndiyo maana kwa sasa wanaandikisha wapiga kura kimya kimya hasa mikoani kupitia wenyeviti wa mitaa na mabalozi wa ccm....Inshaallaah ipo siku Upinzani utashika hatamu za nchi hii...Amen
Kama kweli upinzani umeshinda India hii ni sababu tu ya muamko wa raia pamoja na kuzijua haki zao za msingi na wajibu wao wa kuiadabisha mamlaka yao kwa mujibu wa katiba yao kupitia sanduku la Kura
Hapa kwetu ccm haitaki ww raia ujue haki zako za msingi ndiyo maana kwa sasa wanaandikisha wapiga kura kimya kimya hasa mikoani kupitia wenyeviti wa mitaa na mabalozi wa ccm....Inshaallaah ipo siku Upinzani utashika hatamu za nchi hii...Amen