Aisee nilibahatika kupata mtoto mkali pale Riverside hata sikuamini,chombo kama ya kitusi ila yenyewe ilikuwa shombeshombe..kibaya zaidi sikuifaidi shida ni ileile haitaki upige mda mrefu ...kingine mnapangiana muda.
Ushauri wangu Timu zicheze mpira tu ...ukicheza mpira mzur na watu wakaona cjui kama haya maneno yote yatakuja.Mm ni miongoni mwa washabiki wa mpira haswa juzi tu tuliona goli la simba na mbeya city John aliingilia mchezo lakini refa kwa vile hakuona vizur akaweka kati ,haya ni mambo tu...
Pole sana ...mimi ilishawahi kunipata 2017 ninachokumbuka yangu ilikuwa tofauti kidogo hunikuta ninakaa na njaa muda mrefu hasa mwezi wa Ramadhan katikati...nilishauliwa nile vyakula vya nafaka hasa visivyokobolewa.
Kule usukumani wanaita Mang'ondi wana dawa yao hivi...ni majani ya mti flani...
Simu inachaji kwa kufupi umeme unapita ila data file hazisomi ...flash imegoma kusoma...mouse imegoma
Yametokea matatizo manne kwa wakati mmoja
Usb port
Bluetooth
Wireless
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Yeah nafahamu ,ila baada ya kupoteza sana ndio maana nimeomba mwenye mkeka wenye uelekeo nitupie ten kwa odds hizo 15 nipate mtaji leo maana mhindi amenigalagaza sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.