Recent content by TZLEO

  1. T

    Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

    Aisee nilibahatika kupata mtoto mkali pale Riverside hata sikuamini,chombo kama ya kitusi ila yenyewe ilikuwa shombeshombe..kibaya zaidi sikuifaidi shida ni ileile haitaki upige mda mrefu ...kingine mnapangiana muda.
  2. T

    Simba, wekezeni kisoka michezo ya CAF. Huku NBC tuhonge pesa tu kama wengine

    Ushauri wangu Timu zicheze mpira tu ...ukicheza mpira mzur na watu wakaona cjui kama haya maneno yote yatakuja.Mm ni miongoni mwa washabiki wa mpira haswa juzi tu tuliona goli la simba na mbeya city John aliingilia mchezo lakini refa kwa vile hakuona vizur akaweka kati ,haya ni mambo tu...
  3. T

    UTABIRI: Uingereza ndiye bingwa Kombe la Dunia, 2022

    Mataifa matatu nayapigia utapu Spain Brazil England
  4. T

    Dar kama kuna Baridi hivi huko mikoani vipi, tupeane updates

    Baridi ya Dar ...mikoani ni joto
  5. T

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1940622/
  6. T

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Pole sana ...mimi ilishawahi kunipata 2017 ninachokumbuka yangu ilikuwa tofauti kidogo hunikuta ninakaa na njaa muda mrefu hasa mwezi wa Ramadhan katikati...nilishauliwa nile vyakula vya nafaka hasa visivyokobolewa. Kule usukumani wanaita Mang'ondi wana dawa yao hivi...ni majani ya mti flani...
  7. T

    Tatizo lolote la PC/device

    Simu inachaji kwa kufupi umeme unapita ila data file hazisomi ...flash imegoma kusoma...mouse imegoma Yametokea matatizo manne kwa wakati mmoja Usb port Bluetooth Wireless Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
  8. T

    Tatizo lolote la PC/device

    Naomba msaada usb port za hp pavilion hazi_respond Nimejarbu ku_update window bado
  9. T

    Nina soko Uingereza la maharage haya natafuta patner mwenye mtaji

    Kama sijakosea ni Rosecoco yanatumika sana kwenye kambi za wakimbizi
  10. T

    Gambo: Twambieni Hifadhi ya Burigi Chato imeingiza kiasi gani?

    Ni hatar sana...kila kilichofanywa na Mwendazake sasa kinamomonyoka
  11. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yeah nafahamu ,ila baada ya kupoteza sana ndio maana nimeomba mwenye mkeka wenye uelekeo nitupie ten kwa odds hizo 15 nipate mtaji leo maana mhindi amenigalagaza sana
  12. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba odds 15 za uhakika nina buku ten hapa nataka nitupie
Back
Top Bottom