Leo umeweka sawa....umeshirikiana na shetani muda mrefu lakini hujaona manufaa na umetuonya..''shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu''. Haya ni maneno yako mshana jr
Nikubali kuwa wengi tumemfahamu na...
Wasomaji wa Biblia huelewa Biblia wanapoisoma kwa uongozi wa roho mtakatifu....kwa jicho la kutafutatafuta wengi hutoka 'kapa'-hawaelewi. Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana ya mambo yasiyoonekana. Wasomi na wanafalsafa waliposhindwa kuipinga Biblia wakaamua kusema Mungu...
Hii safari ya kuhamia makao makuu ya Tanzania inazidi kuwa ngumu. Ilikuwa Septemba 1 sasa mara Octoba wengine Desemba na hata mwaka 2020. Changamoto imekuwa ni maswala ya sheria pamoja na gharama za kuhama.
Bajeti ya kuhama haikuwapo lakini pia haihami serikali kwa matamko-kwahiyo sheria ndiyo...
Asante, hayo ndiyo maswali ya watoto. Kwa kawaida mtoto chini ya miaka 5 asilimia kubwa ya fikra na matendo yake huwa ya kweli (siyo ya kujifanya/singizia). Ujue hapo swali lilikuwa kama mama anampenda baba yake? full stop na hakuna chembe ya mzunguko. Mwamini mwanao.
Lakini atakapozidi miak 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.