Yani ukianzisha duka kazi kweli kweli ulipie
Kodi, umeme, maji, takataka, TRA Ile ya mwaka, uwe unatoa VAT, ULINZI kama kwenye frem hizo yupo unalipa na bdo ya mtaa unalipa tena, parking, bdo manisoaa na kodi zao siku atakuja polisi nao watataka chao ya soda 😄 🤣 😆 😂 yani hatari kweli kweli...