Uyo mchina ubahili tu umempelekea umauti masikini sasa una miliki kampuni na pesa nyingi badala uajiri walinzi wakueleweka unaweka masai wakuwalipa 70k kwa mwezi si ujinga huo
Sasa mkuu hapo kimboka tu hadi kwenda na silaha kweli unafeli sana, me nishawah fanya research kama yako wala sikua na mambo mengi nilikuwa na 25k tu nikakaa sehemu nimetulia wakaja wenyewe kuna mmoja nikamtoa soda tu nikapiga nae story kama zote na hapo mida ya saa7-8 usiku all in all wale...
Sikuzote matusi yanasaidia kwa asilimia kubwa ku neutralize hasira ya binadamu so inamuepusha sana kufanya mambo mengne ambayo sio mazuri au zaidi ya hio so me bora mtu atukane la sivyo hasira inaweza hamia kwa mtu kama kuvunja vitu kupiga kupigana hata kuua na ndo maana huko watu kuuana ni mara...
Habari wana jf, kuna tatizo kubwa hasa kwa mitandao ya simu usipo tumia line yako ya simu kwa muda flan anapewa mtu mwingne Kwa sababu namba yako ya simu si namba tu tena.
Imeunganishwa na akaunti yako ya benki.
Barua pepe yako.
Akaunti zako za kazi.
Maisha yako binafsi.
Mara tu namba hiyo...
Shida ya town drive ni kusimama sana hii inasababisha ulaji wa mafuta kua mkubwa hasa gari ikiwa inatafuta mwendo na foleni zile ila kwa highway hua hamna shida sana sababu nilishawah weka mafuta ya 40,000 yakanifikisha tanga enzi za 2800 kwa lita na nimetumia gari yenye cc 2000
Huo mtandao wa watu wengi na inawezkana kifungo hicho wamemhukumu ili kupunguza hasira toka kwa FIFA ila wamemficha wenyewe ili upepo utulie kwanza na pesa hizo wametafuna watu wengi
Ukitaka uje utoe milio hapa jf nunua hizo takataka kwanza operating system sijui ni fake haielewek android yake, zina stuck balaaa apps zinacrash muda wote yani ukiwa nalo utali reset kwa week hata mara 3 yani wale wahuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.