Recent content by Tyrex

  1. Tyrex

    JamiiForums Tanzania DAWASA yazidi kutekeleza agizo la kuboresha huduma kupitia visima Kisukuru

    Sisi kinyerezi tushasahau kama maji yaliwahi kutoka miezi 3 sasa
  2. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya raia wa China yanaendelea kuharibu taswira ya nchi yetu

    Uyo mchina ubahili tu umempelekea umauti masikini sasa una miliki kampuni na pesa nyingi badala uajiri walinzi wakueleweka unaweka masai wakuwalipa 70k kwa mwezi si ujinga huo
  3. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Mafwele soma historia ya Eugene De Kock, polisi katili wa enzi za ubaguzi Afrika kusini

    Uyo jamaa wa sauz mbna kashaachiwa huru sasa
  4. Tyrex

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Sasa mkuu hapo kimboka tu hadi kwenda na silaha kweli unafeli sana, me nishawah fanya research kama yako wala sikua na mambo mengi nilikuwa na 25k tu nikakaa sehemu nimetulia wakaja wenyewe kuna mmoja nikamtoa soda tu nikapiga nae story kama zote na hapo mida ya saa7-8 usiku all in all wale...
  5. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Watu wa pwani na matusi ni mgonjwa wa macho na miwani.

    Sikuzote matusi yanasaidia kwa asilimia kubwa ku neutralize hasira ya binadamu so inamuepusha sana kufanya mambo mengne ambayo sio mazuri au zaidi ya hio so me bora mtu atukane la sivyo hasira inaweza hamia kwa mtu kama kuvunja vitu kupiga kupigana hata kuua na ndo maana huko watu kuuana ni mara...
  6. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa Marekani wanastaafu utumishi mapema?

    Policy zao mkuu sasa unakuta mzee wa miaka 50 unategemea ataenda pigana vita uyo
  7. Tyrex

    JamiiForums Tanzania CCM yaua stand ya mabasi ya Magufuli baada ya Magufuli kufa

    Wew unataka kutupeleka kwenye ukoloni mambo ya magari kuingia stand kwa lazma ni takataka na inaonekana una mawazo primitive sana
  8. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Mitandao ya simu

    Habari wana jf, kuna tatizo kubwa hasa kwa mitandao ya simu usipo tumia line yako ya simu kwa muda flan anapewa mtu mwingne Kwa sababu namba yako ya simu si namba tu tena. Imeunganishwa na akaunti yako ya benki. Barua pepe yako. Akaunti zako za kazi. Maisha yako binafsi. Mara tu namba hiyo...
  9. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Kwa nini magari yanayoingia Tanzania hutumia mafuta mengi mizunguko ya mjini kiasi cha kuwaumiza wanunuzi, hadi kuyaita majini au kuyauza?

    Shida ya town drive ni kusimama sana hii inasababisha ulaji wa mafuta kua mkubwa hasa gari ikiwa inatafuta mwendo na foleni zile ila kwa highway hua hamna shida sana sababu nilishawah weka mafuta ya 40,000 yakanifikisha tanga enzi za 2800 kwa lita na nimetumia gari yenye cc 2000
  10. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Magereza zenye mateso zaidi Tanzania, usiombe ukanyage huko

    Kuna ndugu yangu alikaa hili gereza kama mahabusu kama mwaka hivi katoka kanawili balaa na kitambi juu
  11. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kusimamia wasanii ni biashara kichaa usithubutu kuwekeza pesa zako huko

    Mkuu umeeleza na kufafanua vzuri sana
  12. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Rais wa zamani wa Shirikisho la soka Congo ahukumiwa Kifungo cha Maisha kwa Ubadhirifu wa Fedha za FIFA

    Huo mtandao wa watu wengi na inawezkana kifungo hicho wamemhukumu ili kupunguza hasira toka kwa FIFA ila wamemficha wenyewe ili upepo utulie kwanza na pesa hizo wametafuna watu wengi
  13. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Aina 21 ya simu zilizopigwa marufuku nchini Kenya, kupenyezwa Tanzania ili kuepuka hasara ya wafanyabiashara?

    Ukitaka uje utoe milio hapa jf nunua hizo takataka kwanza operating system sijui ni fake haielewek android yake, zina stuck balaaa apps zinacrash muda wote yani ukiwa nalo utali reset kwa week hata mara 3 yani wale wahuni sana
  14. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Unabadilisha simu kila baada ya muda gani? Na vipi vipaumbele vyako unavyobadilisha?

    Kuna watu hamjui kufanya topup mnapigwa hela ndefu zaidi ni heri utafute mteja mdogo mdogo ndo uongezee hela
  15. Tyrex

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni msoto gani wa kimaisha uliowahi kuupitia, uliokufanya ujue maisha si lelemama?

    Hata kama ni shida ndo uuze smart phone ya watu huo ni wizi sasa
Back
Top Bottom