Recent content by Tyrex

  1. Tyrex

    Rais wa zamani wa Shirikisho la soka Congo ahukumiwa Kifungo cha Maisha kwa Ubadhirifu wa Fedha za FIFA

    Huo mtandao wa watu wengi na inawezkana kifungo hicho wamemhukumu ili kupunguza hasira toka kwa FIFA ila wamemficha wenyewe ili upepo utulie kwanza na pesa hizo wametafuna watu wengi
  2. Tyrex

    Aina 21 ya simu zilizopigwa marufuku nchini Kenya, kupenyezwa Tanzania ili kuepuka hasara ya wafanyabiashara?

    Ukitaka uje utoe milio hapa jf nunua hizo takataka kwanza operating system sijui ni fake haielewek android yake, zina stuck balaaa apps zinacrash muda wote yani ukiwa nalo utali reset kwa week hata mara 3 yani wale wahuni sana
  3. Tyrex

    Unabadilisha simu kila baada ya muda gani? Na vipi vipaumbele vyako unavyobadilisha?

    Kuna watu hamjui kufanya topup mnapigwa hela ndefu zaidi ni heri utafute mteja mdogo mdogo ndo uongezee hela
  4. Tyrex

    Ni msoto gani wa kimaisha uliowahi kuupitia, uliokufanya ujue maisha si lelemama?

    Hata kama ni shida ndo uuze smart phone ya watu huo ni wizi sasa
  5. Tyrex

    Hapa ungechagua kama Brenda au ungeondoka na Bilioni 2.5?

    Huyo kaona mbali n mipango yke
  6. Tyrex

    Mdude Nyagali yupo wapi? Hebu tujikumbushe maneno yake

    Guys kaa mkijua Mungu yupo siku zote jambo lolote ufanyalo kaa ukijua utacheka sasa ila ipo siku tu malipo yako utayapAta tu either ulitenda wemA ama ubaya zote ni mbegu matunda yake utayavuna tu
  7. Tyrex

    Je, unafahamu ni kwanini aliitwa Ice Cube?

    Yule mtoto alikua mshenz sana aliua akapigwa miaka 25 akaanza kucheka pale pale judge akamfunga 285years
  8. Tyrex

    Natafuta boyfriend umri kuanzia miaka 25 hadi 30

    Karibu binti nipo kwaajli yako
  9. Tyrex

    Matatizo ya simu nyingi za Oppo, Redme na Vivo ni mafamba!!

    Mkuu hizo fake nyingi ni zile za mitumba kama oppo, vivo huawei na saivi kuna brands zakiduwanzi kama M-horse sowhat vpolo vitel hizo nyingi mafamba tena mengi yanakua na mabox yanayofanana na infinix na tecno na redmi
  10. Tyrex

    Je, ananipenda kweli au ananitumia?

    Wew nimpumbavu wa mwsho
  11. Tyrex

    Usafirishaji hatari wa Tv kuanzia Inch 60

    Ist mwsho inabeba inch 55 tena hapo umelaza siti zote
  12. Tyrex

    Usafirishaji hatari wa Tv kuanzia Inch 60

    Mkuu inch kuanzia 58 kwenye gari ndogo haiingii kabsa labda uwe na gari kubwa mfano wa harrier au uagize ki carry hapo itabeba
  13. Tyrex

    Kuna kipindi wamiliki wa chaja ya kobe walikuwa wanavimba kama wavimbavyo wamiliki wa type C leo hii? Kwanini ziliitwa chaja ya kobe?

    Mkuu chaja hizi zilisaidia sana sababu battery zote zilikua zinachaji na kulikua na simu kpnd kile kama sony erickson charger zake ilikua mtihani kuzipata so koda akawa mkombozi wa wengi mno
Back
Top Bottom