Recent content by Tyrex

  1. Tyrex

    JamiiForums Tanzania hadi maandishi kwenye duka/frem now unayalipia???

    Yani ukianzisha duka kazi kweli kweli ulipie Kodi, umeme, maji, takataka, TRA Ile ya mwaka, uwe unatoa VAT, ULINZI kama kwenye frem hizo yupo unalipa na bdo ya mtaa unalipa tena, parking, bdo manisoaa na kodi zao siku atakuja polisi nao watataka chao ya soda 😄 🤣 😆 😂 yani hatari kweli kweli...
  2. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Natafakari kwa kina sana,huyu ni mzulu akiwa ametwaa duka moja kwenye ukanda wa maduka!

    Mpaka mwezi wa 9 si atakua kashafunga na duka lenyew
  3. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Shule inauzwa bei ni billion tisa(9), ipo Kitunda -DSM

    9bilions nakula kdg kdg hadi kufa kwangu no stress 😆 😁😁😁😁😁😁
  4. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Kozi za Afya zote ziwe na mafunzo ya kijeshi

    Kwahiyo wew unataka kua askari sio
  5. Tyrex

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mamlaka za Elimu Kigamboni zinaombwa kuchunguza shule hii na kuchukua hatua

    Kama ushahidi upo clear kwann usiuanike hapa ili iwe rahisi pa kuanzia
  6. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Mwenezi wa CCM aliwachapa walimu viboko Kwa sheria ipi aliyoitumia ?

    Binafsi nilifurahi adhabu waliopewa, tena hapo walionewa huruma ilitakiwa wakamatwe wafikishwe mahakamani
  7. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mmasai anayeshutumiwa kumuua Mchina inavutia kimedani. Nipo interested nayo kuona kile jeshi letu litafanikiwa na kwa muda gani

    Mkuu mtu anayekata mawasiliano na watu wote wa karibu anaweza asikamatwe milele upelelezi mwngi wa hapa wanatumia mawasiliano ya mtu so kama hatumii simu kwake hayupo hawasiliani na watu wa karibu marafiki ndugu n.k na kahama sehem aliozoeleka kumpata ni shida sana
  8. Tyrex

    JamiiForums Tanzania DAWASA yazidi kutekeleza agizo la kuboresha huduma kupitia visima Kisukuru

    Sisi kinyerezi tushasahau kama maji yaliwahi kutoka miezi 3 sasa
  9. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya raia wa China yanaendelea kuharibu taswira ya nchi yetu

    Uyo mchina ubahili tu umempelekea umauti masikini sasa una miliki kampuni na pesa nyingi badala uajiri walinzi wakueleweka unaweka masai wakuwalipa 70k kwa mwezi si ujinga huo
  10. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Mafwele, soma historia ya Eugene de Kock, polisi katili wa enzi za ubaguzi Afrika Kusini

    Uyo jamaa wa sauz mbna kashaachiwa huru sasa
  11. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Sasa mkuu hapo kimboka tu hadi kwenda na silaha kweli unafeli sana, me nishawah fanya research kama yako wala sikua na mambo mengi nilikuwa na 25k tu nikakaa sehemu nimetulia wakaja wenyewe kuna mmoja nikamtoa soda tu nikapiga nae story kama zote na hapo mida ya saa7-8 usiku all in all wale...
  12. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Watu wa pwani na matusi ni mgonjwa wa macho na miwani.

    Sikuzote matusi yanasaidia kwa asilimia kubwa ku neutralize hasira ya binadamu so inamuepusha sana kufanya mambo mengne ambayo sio mazuri au zaidi ya hio so me bora mtu atukane la sivyo hasira inaweza hamia kwa mtu kama kuvunja vitu kupiga kupigana hata kuua na ndo maana huko watu kuuana ni mara...
  13. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa Marekani wanastaafu utumishi mapema?

    Policy zao mkuu sasa unakuta mzee wa miaka 50 unategemea ataenda pigana vita uyo
  14. Tyrex

    JamiiForums Tanzania CCM yaua stand ya mabasi ya Magufuli baada ya Magufuli kufa

    Wew unataka kutupeleka kwenye ukoloni mambo ya magari kuingia stand kwa lazma ni takataka na inaonekana una mawazo primitive sana
  15. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Mitandao ya simu

    Habari wana jf, kuna tatizo kubwa hasa kwa mitandao ya simu usipo tumia line yako ya simu kwa muda flan anapewa mtu mwingne Kwa sababu namba yako ya simu si namba tu tena. Imeunganishwa na akaunti yako ya benki. Barua pepe yako. Akaunti zako za kazi. Maisha yako binafsi. Mara tu namba hiyo...
Back
Top Bottom