Huo mtandao wa watu wengi na inawezkana kifungo hicho wamemhukumu ili kupunguza hasira toka kwa FIFA ila wamemficha wenyewe ili upepo utulie kwanza na pesa hizo wametafuna watu wengi
Ukitaka uje utoe milio hapa jf nunua hizo takataka kwanza operating system sijui ni fake haielewek android yake, zina stuck balaaa apps zinacrash muda wote yani ukiwa nalo utali reset kwa week hata mara 3 yani wale wahuni sana
Guys kaa mkijua Mungu yupo siku zote jambo lolote ufanyalo kaa ukijua utacheka sasa ila ipo siku tu malipo yako utayapAta tu either ulitenda wemA ama ubaya zote ni mbegu matunda yake utayavuna tu
Mkuu hizo fake nyingi ni zile za mitumba kama oppo, vivo huawei na saivi kuna brands zakiduwanzi kama M-horse sowhat vpolo vitel hizo nyingi mafamba tena mengi yanakua na mabox yanayofanana na infinix na tecno na redmi
Mkuu chaja hizi zilisaidia sana sababu battery zote zilikua zinachaji na kulikua na simu kpnd kile kama sony erickson charger zake ilikua mtihani kuzipata so koda akawa mkombozi wa wengi mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.