Mauaji ya raia wa China yanaendelea kuharibu taswira ya nchi yetu

Mauaji ya raia wa China yanaendelea kuharibu taswira ya nchi yetu

Best home tutor

Senior Member
Joined
May 8, 2026
Posts
194
Reaction score
261
Jeshi la polisi lifanye uchunguzi mapema ,tuwahakikishe usalama wawekezaji.

Suala la mchina aliyeuawa mabibo Dar ni suala ambalo linaweza kuwapa hofu wawekezaji juu ya usalama wao nchini kwetu na kufanya tukose wawekezaji hasa wa nchi kubwa kama china.

Lakini kampuni hizi zisimamiwe kampuni kubwa kama hiyo ilitakiwa iwe na walinzi wanaotambulika sio kulindwa na wamasai.

Soma
 
Mchina aruhusiwi kwenda mabibo?
Wachina kwao mikocheni

Akifa mikocheni Kuna la kuzungumzwa

Mchina anakufa karibu na Ubungo kibangu sijui external huko kilimpleka nini

Hawa ndugu zetu wananjaa na nawajua

Juzi nimepita masaki nikakuta Mchina yupo nje barabarani anafua kuangalia mbele Kuna kigorofa kinajengwa siku Shangaa sana

Ila Kuna mmoja namjua alipanga uswahilini na anahudumia Mchepuko fresh tu

Mchina atoa kodi ya mwaka mzima uswahilini si anaona kafika huyo.!

Hawa mafala umalaya utawaua ukute kala Demu wa muhuni
 
Wachina kwao mikocheni

Akifa mikocheni Kuna la kuzungumzwa

Mchina anakufa karibu na Ubungo kibangu sijui external huko kilimpleka nini

Hawa ndugu zetu wananjaa na nawajua

Juzi nimepita masaki nikakuta Mchina yupo nje barabarani anafua kuangalia mbele Kuna kigorofa kinajengwa siku Shangaa sana

Ila Kuna mmoja namjua alipanga uswahilini na anahudumia Mchepuko fresh tu

Mchina atoa kodi ya mwaka mzima uswahilini si anaona kafika huyo.!

Hawa mafala umalaya utawaua ukute kala Demu wa muhuni
Dahh🤣🤣
 
Uyo mchina ubahili tu umempelekea umauti masikini sasa una miliki kampuni na pesa nyingi badala uajiri walinzi wakueleweka unaweka masai wakuwalipa 70k kwa mwezi si ujinga huo
 
Jeshi la polisi lifanye uchunguzi Mapema ,tuwahakikishe usalama wawekezaji.

Suala la mchina aliyeuawa mabibo dar ni suala ambalo linaweza kuwapa hofu wawekezaji juu ya usalama wao nchini kwetu na kufanya tukose wawekezaji hasa wa nchi kubwa kama china.

Lakini kampuni hizi zisimamiwe kampuni kubwa kama hiyo ilitakiwa iwe na walinzi wanaotambulika sio kulindwa na wamasai.
Wachina wezi na siyo wawekezaji, na una vyosema hiyo kampuni kubwa huo ni Uongo kwenye nchi hii Wachina hawana kampuni kubwa za uwekezaji, hakua Mchina aliyewazudi wa zawa kwenye kuwekeza. Kama kununua chupa kwa waokota chupa ndiyo unakua Muwekezaji mkubwa'' je Dangote, Barrick, GGM, Bakhresa na wao tuwaweke kundi gani?
 
Jeshi la polisi lifanye uchunguzi Mapema ,tuwahakikishe usalama wawekezaji.

Suala la mchina aliyeuawa mabibo dar ni suala ambalo linaweza kuwapa hofu wawekezaji juu ya usalama wao nchini kwetu na kufanya tukose wawekezaji hasa wa nchi kubwa kama china.

Lakini kampuni hizi zisimamiwe kampuni kubwa kama hiyo ilitakiwa iwe na walinzi wanaotambulika sio kulindwa na wamasai.
Wachina wezi na siyo wawekezaji, na una vyosema hiyo kampuni kubwa huo ni Uongo kwenye nchi hii Wachina hawana kampuni kubwa za uwekezaji, hakua Mchina aliyewazudi wa zawa kwenye kuwekeza. Kama kununua chupa kwa waokota chupa ndiyo unakua Muwekezaji mkubwa'' je Dangote, Barrick, GGM, Bakhresa na wao tuwaweke kundi gani
 
Uyo mchina ubahili tu umempelekea umauti masikini sasa una miliki kampuni na pesa nyingi badala uajiri walinzi wakueleweka unaweka masai wakuwalipa 70k kwa mwezi si ujinga huo
Kingine wanapenda kuishi maeneo ya kazi ili kuzuia kuibiwa mali zao, inaingia akilini Mkurugenzi wa Kampuni ukaishi kiwandani yani kupanga Nyumba hata Sinza ameona ni kupoteza pesa.
 
i agree to differ, me naona tukemee mauaji huku tukizi tathimini tabia za wageni wanaokuja nchini haswa hawa wachina. kwa yeyote ambaye kashafanya nao kazi anajua how narcistic they are.
 
Back
Top Bottom