Acha uongo wako, kipindi kile Urusi na China zilikuwa zina isaidia kienteligensia, silala n.k Iraq vinginevyo hata nchi moja tu kati ya ulizoelezea zingemaliza.
Nakuunga mkono Mkuu, mtu mwenye akili na mwenye uwezo mzuri wa kufikiri na kuchambua mambo hawezi kufikiri kidini. Eti nimpendelee kwa sababu ni mkristo au mwislam tukifikia hapo basi amani yetu itakuwa hatarini.
Muulize alianza kupost akielezea ya kuwa sijui kuwa kuna kiongozi wanataka kumtangaza mtakatifu? Mimi pia sina uhakika hasa alikuwa anamzungumzia nani?
Huyo mtu anahusiano gani na Tanesco na udini? Kama dini au thehebu alilokuwa akisali wakati akiwa hai wameona inafaa kumwita huyo mtakatifu inatuhusu nini mimi na wewe? Ya serikali apewe serikali na ya dini wapewe wadini.
Toka nizaliwe toka tumboni mwa mama yangu na kuwa mtu mzima sijawahi kumshambulia mtu au kumwazia vibaya kwa sababu ya dini au dhehebu lake, hata huyo Dau unaemzungumzia sijawahi kumzungumzia lolote.
Hivi wewe Nyemanze hufikiri ni kwanini ALLAH hafikiri kuhusu uwepo wa watu wa dini fulani mahali...
1.Sina muda wa kipuuzi na kupoteza kutafuta takwimu za watu na dini zao kwani sina mpango wa kujenga msikiti au kanisa karibu na ofisi hizo. Eti walitumia kigezo cha dini kuajiri. Yaani kama nafasi imetangazwa hajaomba dini fulani niende barabarani nikambembeleze mtu wa dini Fulani. Umeona wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.