Recent content by twins's mum

  1. T

    Bank ya CBA wamlipa diamond ten million

    yaani siku moja mtu anapata ten million! nimeanza kumlisha mwanangu tangawizi, lazima kieleweke.
  2. T

    Radio Imani, Kwa Neema FM zafungiwa... Clouds FM yatozwa faini!

    at last li-klauds limepigwa faini na likipindi la wale wehu la jicho la kondoo, am happy for this!
  3. T

    Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

    hiyo hospitali ndiyo yenye proffessional doctors wengi kuliko popote, ila kuna wakati huwa naona kama viini macho, yaani mambo ambayo hujayategemea kabisaaaaa, ndiyo yanatokea! pole Mtambuzi
  4. T

    Goldie Harvey's Burial - Live Updates

    MUNGU WETU AMSAMEHE MAKOSA YAKE! TUSALI DAIMA NA KUOMBA TOBA NA MSAMAHA! MAANA HATUJUI DAKIKA WALA TAREHE, RIP GOLDIE! amen
  5. T

    Sikumkimbia Dr. Slaa New Africa Hotel

    by the way! huyu mwigulu ndiye nani nchini?? nijuzeni tafadhali!
  6. T

    Happy Birthday to Me,OOH,thank you Lord!

    amen mpendwa! we are together!
  7. T

    Mwacheni Diamond Aitwe Diamond-Picha za Show yake ya Jana na Wafanyakazi wa CBA Bank Pale Kempiski

    kifua chake tu!! unamkuta mwanaume ana kitambi ka roba la mbolea mbichi!! fanyeni mazoezi, acheni kuwa na mavitambi!! diamond upo juu!! big up kwako!
  8. T

    Happy Birthday to Me,OOH,thank you Lord!

    oh my lord! Mpenda Yesu nisamehe kwa yote! ndio nauona huu uzi, happy birthday sweetheart! MUNGU mwema akuzidishie maisha yenye amani na furaha tele! happy birthday again!
  9. T

    Dr. Slaa amuige Mnyika kujibu tuhuma za Mtela Mwampamba dhidi yake

    am speechless! mbona kashfa hivyo?
  10. T

    Mwai Kibaki awadharau watanzania!

    mtawasema sana wakenya!! lakini ukweli ni kwamba wametuacha kwa karne nzima! waacheni wapumuwe.......!
  11. T

    Channel Ten: Mchungaji Antony Lusekelo azungumzia Kuchinja!

    kwi kwi kwi kwi! mbavu zangu mama twins!
  12. T

    long live president jakaya kikwete

    hivi kwa nini hawaweki kwenye google the most 20 STUPID PRESIDENTS IN THE WORLD, Najua mtu fudenge fudenge hangekosekana! kwi kwi kwi!
  13. T

    Old Bagamoyo Road yabatizwa 'Mwai Kibaki Road'

    mnyonge mnyongeni sifa yake mpeni, kibaki is a president and a half, kaibadilisha kenya kupita maelezo! muache kikwete ajikombe labda atapata hifadhi 2015!
  14. T

    Polisi Z'bar yamjibu Pengo kuhusu Uamsho na Vurugu za kidini Zanzibar

    achilia mbali kumjua! hata kumsikia hawajawahi, chezeiya UDINI WEYE??? Tufiakwa!! natemea mate kifuani kwangu, MUNGU ATUEPUSHIE SANA!
Back
Top Bottom