Mwacheni Diamond Aitwe Diamond-Picha za Show yake ya Jana na Wafanyakazi wa CBA Bank Pale Kempiski

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Mwacheni Diamond Aitwe Diamond-Picha za Show yake ya Jana na Wafanyakazi wa CBA Bank Pale Hayat zamani Kempiski, Alipagawisha wafanyakazi hao vya kutosha kwa show nzuri kutoka kwa wasafi..Big up kaka

<tbody style="margin: 0px; padding: 0px; border: 0px; outline: 0px; vertical-align: baseline; background-color: transparent;">
</tbody>
 
Usiku wa jana nilikua na kibarua kizito cha kuhakikisha Nakonga na
Kufurahisaha nyoyo
za Wafanyakaziwa CBA BANK na wageni waalikwa kwenye
Party yaCBA BANK
iliyofanyikaHyatt Regency zamani kama Kempinsk Hotel....Kiukweli
nimshkuru sana
Mwenyez Mungu kwa kuweza kunisimamia
vyema na Kufanikisha zoezi hilo....
Ntakua mchoyo wa Fadhira sana endapo
kama nisipoushkuru Uongozi mzima wa Bank
ya CBA kwa kuweza kunipa fulsa hiyo vilevile
Kampuni ya SCANAD TANZANIA LTD bila kuisahau team yangu nzima
ya WASAFI......! haya ndio yaliyojiri

<tbody>
</tbody>
Emma Platnumz na Ramadhan Mpauka

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Rommy Jones On The One n Two.....!!

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
WASAFIIII.....!!

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Weeeeeh....!

<tbody>
</tbody>
Afe kipa afe beki Ushindi LAZIMA!!!

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
-

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Ramadhani Mpauka...!

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Kiukweli ilikua ni moja Corporate Event iliyonipa raha sana pindi nikiwa kwenye stage
Maana walikua wako very Active... yaani walikuwa
na mizuka saa zote......!!!

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Ni mwendo wa Kwaito tu....

<tbody>
</tbody>
Asanteee

<tbody>
</tbody>
Mashetani ya Kimanyema yakaanza sasa.....

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Nikukiamsha tu.....!!!

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Ni Kumwaga radhi tu....

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
 

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>
Tukilewa pamoja kwa style ya kwaito..!!

<tbody>
</tbody>
AgHaaa....

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>

<tbody>
</tbody>


<tbody>
</tbody>
 
du kweli alistahili kuitwa nasibu domo wa Tandale.


Ila dogo noma..big up!:yo::yo::yo:
 
Jamaa anajituma sana hongera zake akiendelea hivi anaweza kuitikisa Afrika katika idara ya Muziki na si ajabu dunia ali mradi tu ajiepushe na vishawishi ambavyo vinaweza kumharibia...Picha zimetoka bomba ile mbaya.
 
Ukijituma kama hivi hakika utaweza kila kitu vijana tusilale
 
Acha wivu ndgu Kama mwenzako anapiga hatua ktk maisha mpe sifa zake
Tafsiri nzuri ya wivu ni changamoto ya maendeleo.

Anapiga hatua? anapaswa apige 'mahatua' mengi,ni heri nimtakiayo pia.

Sifa nyingi hupunguza maarifa na kujituma. Sifa zake anazo mwenyewe,mimi nina sifa zangu tu na sizigawi kwa mtu.
 
Costume designer amefanya kazi yake, picha nzuri, watu wametokelezea kama mbele, safi kijana, ila epuka cheap popularity itakumaliza. Afu mbona waendesha gari mwenyewe?
 
Kiingilio kwenye hiyo sherehe ilikuwa ni suti nyeusi/kijivu kwa wanaume?,naona wote wametinga hivyo,sijaona swagga zozote zaidi ya za mwimbaji na wachezaji wake ,ila huyu kijana anahitaji kuwezeshwa naona yeye na dancers wake wote wamepanda gari moja tena anajiendesha,i cant imagine harufu ya majasho humo ndani ya prado!!!!!
 
Jamaa anajituma sana hongera zake akiendelea hivi anaweza kuitikisa Afrika katika idara ya Muziki na si ajabu dunia ali mradi tu ajiepushe na vishawishi ambavyo vinaweza kumharibia...Picha zimetoka bomba ile mbaya.
Huwa siipendi hiyo tabia yake ya kuvua nguo hadharani. Hivi wenzake akina Michael Jackson na umaarufu wao wote mbona walikuwa hawavui nguo?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahaha lol! labda kamuiga Rick Ross huyu jamaa mziki ukishakolea basi hubaki tumbo wazi na kajaaliwa kitambi basi huwa kinaanza kutikisika. Juzi juzi tulikuwa tunaangalia BET awards na washkaji basi jamaa kuingia tu nikaanza kusema atavua shati sasa hivi muziki ukimkolea basi kama baada ya dakika tatu shati tupa kule!! anaanza kutingisa kitambi chake :):)


Huwa siipendi hiyo tabia yake ya kuvua nguo hadharani. Hivi wenzake akina Michael Jackson na umaarufu wao wote mbona walikuwa hawavui nguo?
 
kifua chake tu!! unamkuta mwanaume ana kitambi ka roba la mbolea mbichi!! fanyeni mazoezi, acheni kuwa na mavitambi!! diamond upo juu!! big up kwako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom