Uchaguzi wowote ule sharti uongozwe na 'doctrine' yake inayosadifu mazingiraa, zama na nyakati husika. bila shaka, hapa kwetu, "doctrine" inayopaswa kutuongoza katika uchaguzi huu ni " ondoa wakongwe weka wapya" tukiweza kujenga utamaduni huo hapa kwetu, ndipo tutakwenda kujenga mfumo thabiti...
Spin doctors at work. nimekuwa mchangiaji wa mda mrefu sana kwenye magazeti ya rai na mtanzania, kwa kuandika makala mbalimbali. kilichopo pale "new habari" ni ufuasi na si weledi. mtanzania ni gazeti linaloongoza kwa makosa mengi, kuanzia uchapaji, uhakiki wa habari, usanifu wa kurasa nk. hii...
Kwa hiyo zitto naye alisaidiwa na nani kupata ubunge, maana kikwete hakufanya kampeni kwenye jimbo lake la kigoma kaskazini mwaka 2010. Hivi kazi ya naibu katibu mkuu nini? Yaani zitto alitaka kutomsaidia mgombea wa chama chake ili msaidie nani?
Hoja hujibiwa kwa hoja. Zitto anapaswa kujibu hoja na si kuchpuka hoja. anadai ni chama cha uwazi kipi kinamfanya ashindwe kuweka wazi vyanzo ya mapato?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.