CHADEMA yafutika Kigoma

CHADEMA yafutika Kigoma

Hivi huko jimboni kwa Zitto kafanya jambo gani linalomfanya anyenyekewe sana?...naomba kujua jibu kwa waliofika Kigoma na waishio huko


Ni kubaya hakuna lolote la maana.
 
Zito ni mkombozi wa watu wa kigoma, kabla yake tulikuwa na wabunge ambao walishindwa kutuletea maendeleo .Baada ya zito kabwe kuingia bungeni tumeshuhudia maendeleo makubwa. Kiujumla kaubeba mkoa wote wa kigoma. Zito ni raisi wa kigoma. Huo ndio ukweli.
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

hivi kwa nini anahama kigoma mjini huyu jamaa ?
 
ACT ni mpango wa ALLAH!!!

ACT ni chama kilichoundwa na ccm ili washushu wao wakikamtwa wajue pakwenda hata Zito ndivyo alivyo fanya
N:B: wananchi wa Kigoma msiwe wasaliti kama huyo kiongozi wenu maana kufanya hivo ni sawa na mnaisaliti nchi yenu
 
Na hii ni dhahiri na thabiti kabisa adui mkubwa wa Zitto na ACT yake ni CCM hawatakuwa tayari kuona Zitto anachomoza tena na huu ndio mwisho wake.

Kutokana na uadui mkubwa na CCM alionao,usaliti wa zitto kabwe kwa chadema unatokea wapi?
 
Hivi ACT vision yenu ni IPI? mission yenu nini?


Nyie Kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?


Kushindana na CCM? kushindana na CDM? au kushindana na vyote kwa pamoja??
Act haina mpango wa kugombana na chama chochote bana. Nyie cdm ndio mna chuki ya kike kuona chama kingine kipya kwani kwa ujinga wenu mnadhani nyie ndio wenye kura ya turufu ya kuwa wapinzani. Act ni wazalendo kama unatambua maana ya wazalendo na wewe unajiamini ni miongoni mwa wazalendo basi jiunge sasa usipoteze muda
 
Hivi ACT vision yenu ni IPI? mission yenu nini?


Nyie Kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?


Kushindana na CCM? kushindana na CDM? au kushindana na vyote kwa pamoja??

Chagua lolote kati ya hayo au ikiwezekana yoo nisawa ndomana kuna cdm,ccd,act kilammoja na mipango yake
 
Msaliti ni msaliti tu hakuna mpinzan anaeongea na kupanga mambo ya kubadilishana jimbo na chama tawala kwa manufaa yao ukamuita mpinzan
 
Ninani mwenye uwezo wakutuletea maendeleo kweny majimbo yetu?haya ndo tunayo pasw kujiuliza,sio vyama,vyama Usanii mtupu
 
Act haina mpango wa kugombana na chama chochote bana. Nyie cdm ndio mna chuki ya kike kuona chama kingine kipya kwani kwa ujinga wenu mnadhani nyie ndio wenye kura ya turufu ya kuwa wapinzani. Act ni wazalendo kama unatambua maana ya wazalendo na wewe unajiamini ni miongoni mwa wazalendo basi jiunge sasa usipoteze muda


Mimi si CHADEMA

Ni RAIA Wa kawaida tu asiye na chama.

Nauliza tu mnaposema ACT itaifuta CDM kigoma mnamaanisha nini?

Huyo mpuuzi wenu kapoteza dira... Nanyi wafuasi wake mmepoteza dira...

Ameacha mambo ya msingi anayopaswa kufanya mwanasiasa amehamia kwenye mashindano ya uhasama....

Kuna vyama tawala na upinzani...

Kazi ya upinzani ni kupambana na watawala na kazi ya watawala ni kupambana na upinzani...

Sasa naona nyie na mpuuzi wenu mnapambana na wote yaani wapinzani na watawala.. ..

Mmefeli na mtatapikwa very soon...

Mwambieni huyo mpuuzi arudi kulima tu kwao siasa ishamshinda.
 
Hata shetani aliumbwa na ALLAH huyohuyo!

Ha ha ha ha wamepoteza dira hao wapuuzi....

Ndo maana Werema kasema watu wenye mibichwa mibaya Kama wao ni wapuuzi tu...

Jamaa anajiona anaweza cheza game la pande zote kumbe mjinga tu ngoja aone moto....
 
Nasikia zitto ana akili nyingi kuliko watu wote wa mkoa mzima wa kigoma! Ndo maana wanamfuata kila chama aendacho! Teh teh kigoma bhana..
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

kwahiyo act ni chama cha waha?
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

Kwa maana hiyo nayo ACT imepotelea mbali?
 
Werema.
 

Attachments

  • 1427217063416.jpg
    1427217063416.jpg
    56 KB · Views: 315
Chadema ni Chadema tu! Na hatuwezi kubaki na wasaliti kamwe!!
 
Back
Top Bottom