teh teh teh saida karoli,,,umenifunza ktu apa wangu kumbe waliopitwa na wakati ndo walokauka midomoni mwa watu ila wanaondelea kukick ndo wanazungumziwa either kwa ubaya na haters au kwa uzuri
kafanya project ya one eight au ulikuwa ujaanza kufatilia mziki ata rais wetu kuna studio aliitembea marekani inaitwa universal rec alikuta pcha ya kiba so mond akaitangaze wap tanzania zaidi ya marekani mana nigeria njaa njaa kama bongo
wafuasi wa chama cha madikteta mbona mnakuwa kama viongoz wenu,,zito mmetimua wenyewe kama kweli ni msaliti au la mungu ndo anajua aloamini kaamini alogoma kuamini ndo kashagoma hamtomuweza muzipe nafasi shughuli nyingine za kichama ziendelee si mulimvua uanachama ili mubaki na watendaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.