Huyu naye ni chawa tu .aliekomaa kisiasa ni huyo Majaliwa na Jenister wanaoficha historia ya lowasa na hawa ndio washauri wa rais utegemee nchi hii kupata maendeleo?
Nchi ya wajinga ndio huweka watu kwa matabaka .hao watoto wanaoitwa wa masikini ndio wepi hao ,utakuta baba zao wako baa kila siku ,ucone watu wanalipa ada za private ukadhani wanazo pesa wameacha kwenda baa hawana nyumba ndogo .tuwatafute hao wanaoitwa masikini tuone, wameoa wanawake wawili...
Machaliiiiii weee unatafuta huruma kwa wakubwaee matumizi ya hela ya serikali yanapangwwa na bunge hiyo hoja yako ya kama zimetumika kununua ndege ni dhaifu ni nje ya bajeti ya serikali ndio maana watu wanauliza wajue zimetumikaje 1.5
Kweli nchi hii ina tatizo la uelewa hakuna mahali Zitto kasema zimeibiwa alichohiji ni "matumizi ya 1.5 hazijulikani matumizi yake ni yepi namkaguzi amesema wabunge wahoji wapewe mchangauo " mbona mnamtia zitto maneno mdomoni ?
Hapa hakuna ushirikina ni kiasi cha kumlilia Mungu na kumweleza maumivu unayoyapata wanavyokunanga na kumkabidhi mamlaka yake ahukumu kwamba wewe huwezi hukumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.