Mimi mke wangu atafute mume mwingine watoto watatafuta baba mwingine hata ndugu wakinitembelea mwisho stendi sitaki mambo ya lucifer kwenye nyumba yangu
Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanawapelekesha TRA wakiamua tu kutafuta kiki wanatoa amri kwa TRA kwenda kufunga maduka wakiwa na watu mnada na wao wanasema wametumwa na mkuu wa nchi kulazimisha kodi.
Wanabambikiza kodi utasikia ulikwepa kodi kwa miaka 10.
Kila kona ya nchi biashara...
Kutumia silaha za moto kwa waandamanaji wasiokua hata silaha ni kinyume kisheria pia na haki za binadamu.
Toka kuingia kwa Sizonje madarakani amekua na tamaduni kufanya mauji mbalimbali pia kudhuru watu na kuteka.
Kupigwa kwa mheshimiwa Lissu jirani na nyumba naibu spika na walinzi wa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.